imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 46,678
- 71,030
Wakate Leseni walipe na Mapato kama Sheria za Nchi zinavyosemaIli vyuma viendelee kukaza kwao?
Wakate Leseni walipe na Mapato kama Sheria za Nchi zinavyosemaIli vyuma viendelee kukaza kwao?
Kwa hiyo 50,000/= ingefanya chupa za mikojo na zile ajali za barabarani zingeondoka???Viongozi mbalimbali wa machinga katika jiji la Dares Salaam wameiomba serikali iwapandishie kodi ya kitambulisho kutoka elfu 20 hadi elfu 50 kwa mwaka ili tu wasifukuzwe mjini na waachwe waendelee na biashara zao kwani kuwatoa mjini ni kuwafanya waishi maisha magumu sana.