Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,590
- 22,197
Barabara ya Zakhiem Mbagala Rangitatu ina vibanda vingi vya wamachinga kando ya kuta za viwanda, wamachinga hawa wanalindwa na mamlaka kwa hali na mali kwa sababu ndio wapiga kura wetu.
Wapigakura hawa wenye vibanda nyakati za usiku hugeuka nguchiro na kuanza kutoboa kuta za viwanda kwa ajili ya kuiba ndani ya viwanda, huu ndio uwekezaji mkubwa wa wapigakura wetu hawa na kiwanda kilichoathirika sana ni cha Maji Poa.
Tatizo hili si huko tu hata maduka yanayobanwa na wamachinga nayo hukabiliwa na wizi wanaotumia mbanano kuwa kinga.
Wapigakura hawa wenye vibanda nyakati za usiku hugeuka nguchiro na kuanza kutoboa kuta za viwanda kwa ajili ya kuiba ndani ya viwanda, huu ndio uwekezaji mkubwa wa wapigakura wetu hawa na kiwanda kilichoathirika sana ni cha Maji Poa.
Tatizo hili si huko tu hata maduka yanayobanwa na wamachinga nayo hukabiliwa na wizi wanaotumia mbanano kuwa kinga.