Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,597
- 215,272
Nimeona Waafuganistan wanagawana duka moja watatu na wanachangia kodi pamoja. Kama halmashauri ikiweka kodi laki moja kwa mwezi wanaweza kugawana mwenye leseni akatoa 30 na wenzake kutoa 35x2Idea nzuri hii mkuu, kwasababu inaonakana si rahisi kuwalazimisha waende kwenye hayo masoko yalijengwa kwa sababu mbali mbali. Basi ni bora njia hiyo itumike itakua poa sana.