Uchaguzi 2020 Wallah siwezi kumpigia kura mtu mwenye kauli kama hizi, labda nichanganyikiwe

Screenshot_20200925-155927.png
 
Hafai kwa ustawi wa Taifa letu.

Anataka kutagawa kama Wanyarwanda hapa.

Analeta ubaguzi , eti msipomchagua huyu sileti maji jimbo hili ,

Tusikubali Watanzania Kiongozi anayetugawa kwa misingi yoyote ile,

Iwe tofauti zetu kiitikadi huyo hatufai.

Tusimchague yeye wala chama chake.
 
"Mimi mtu akinishauri ndio ameharibu kabisa maana sitofanya kile anachonishauri".

Rais.John Magufuli

"Hata kama wagombea ubunge wa upinzani ni wazuri msiwape kura".

Rais magufuli 2020.

Huyu mtu hatufai watanzania.
Huyu katokea pori gani? Ni binadamu wa kawaida? Usiniambie eti ni Rais.
 
Matukio/kauli zilizonidhihirishia kuwa JPM anaumwa:
1. Kuna mwana usalama mmoja alichomekwa kuuliza/kutoa duku duku ile kujichanganya akadai alimuota JPM... JPM akamuuliza kama alimuota wakiwa kitandani?
2. Kuna siku akamuozesha Mama yake mzazi kwa mzee alomtunuku jogoo...
3. Kuna siku alimuuliza mama mmoja anataka apanuliwe wapi...
4. Kuna siku akawaonya waandishi kuwa hawana Uhuru tu that extent...
5. Kuna siku akaamuru mtu anayehoji hoji mambo yaani msaliti afanywe kama wanavyofanya vitani...
6. Kuna siku aliahidi kuwapiga dada, Shangazi na mama zetu...
7.
8.


28.10.2020 tuna Jambo letu...!!
Hii ya mwaka huu hawawezi kuiba wakatangazwa washindi na wananchi wakawavumilia...
#Sasa Basi!
Aisee, kumbe jamaa chizi. Alipitaje 2015? Watanzania tuna Jambo Letu 28/10/2020.
 
Ile kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!
Hahaha, labda Bashite akupe ufafanuzi. Huenda anaielewa!
 
Kwa haya yanayojitokeza katika kampeni zinazoendelea... na yatakayotokea kura zitakapopigwa...
Watu watajifunza kitu...
Ukiona una wasaidizi wasiokusaidia WALA KUKUSHAURI VEMA BALI KUKUSIFIA JUA UMEKWISHA...
Kwa sasa hana washauri. Mshauri mkuu kazikwa Lupaso.
 
Hasira abakie nazo,awapatie kibano Bashiru,Polepole,Kabudi,Mangula,Majaliwa,Jaffo&co.Kuna mmoja wao lazima jumba bovu limkandamize siku si nyingi.Tunataka kila hoja ijibiwe kwa ufasaha,onyesheni documents hadi za Twiga Company.
Kwenye list muongeze Ndugai.
 
Kwa kuiba sawa...CCM wataiba wee mwishowe wataanza kuibiana. Kwa miaka mitano wanajiimarisha kwa wizi na yawezekana wamefuzu kabisa na kupata vyeti lakini wasisahau za mwizi ni arobaini!
Arobaini zimeshafika mkuu. Kwa kauli ya mwenyekiti wao "wanaota wamelala kitanda kimoja wanaume wawili". JAMBO LETU 28/10/2020 si la kitoto.
 
Back
Top Bottom