Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Nazani ni vyema ukanushe! Baba jesca hakusema hayo??mkuu wewe ndio unaumwa.
Hivi ni mataahira gani yanapanga kumpa kura huyu mwovu? Ona sura anavyojibu kwa jeuri?Binafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
View attachment 1580494
Huyu katokea pori gani? Ni binadamu wa kawaida? Usiniambie eti ni Rais."Mimi mtu akinishauri ndio ameharibu kabisa maana sitofanya kile anachonishauri".
Rais.John Magufuli
"Hata kama wagombea ubunge wa upinzani ni wazuri msiwape kura".
Rais magufuli 2020.
Huyu mtu hatufai watanzania.
Hahaaa, yamekuwa hayo!!!!
Duh, Belzebuli ni hatari. Ni shetani mkuu. Nyumba inajifitini yenyewe, haiwezi kusimana. Kwaheri ccm, msalimie KANU.Wameparanganyika , Amang'ana gasarikile !
Aisee, kumbe jamaa chizi. Alipitaje 2015? Watanzania tuna Jambo Letu 28/10/2020.Matukio/kauli zilizonidhihirishia kuwa JPM anaumwa:
1. Kuna mwana usalama mmoja alichomekwa kuuliza/kutoa duku duku ile kujichanganya akadai alimuota JPM... JPM akamuuliza kama alimuota wakiwa kitandani?
2. Kuna siku akamuozesha Mama yake mzazi kwa mzee alomtunuku jogoo...
3. Kuna siku alimuuliza mama mmoja anataka apanuliwe wapi...
4. Kuna siku akawaonya waandishi kuwa hawana Uhuru tu that extent...
5. Kuna siku akaamuru mtu anayehoji hoji mambo yaani msaliti afanywe kama wanavyofanya vitani...
6. Kuna siku aliahidi kuwapiga dada, Shangazi na mama zetu...
7.
8.
28.10.2020 tuna Jambo letu...!!
Hii ya mwaka huu hawawezi kuiba wakatangazwa washindi na wananchi wakawavumilia...
#Sasa Basi!
I see, kumbe pia ni mzee wa mauno!!! Ule wimbo wa "Nyegezi" wa Diamond una muhusu mzee baba!Tangu ammimbalize shemeji yake toka nitoke na mke wake nimemdharau sana. Halafu kashindwa kumtetea kwenye issue ya vyeti fake
Hahaha, labda Bashite akupe ufafanuzi. Huenda anaielewa!Ile kauli aliyomuuliza mwanaume mwenzake eti amemuota wakiwa wote kitandani? Ni kauli chafu kutolewa na Rais wa nchi hata kama ni utani! Nilipoisikia nilikasirika sana!
Kwa sasa hana washauri. Mshauri mkuu kazikwa Lupaso.Kwa haya yanayojitokeza katika kampeni zinazoendelea... na yatakayotokea kura zitakapopigwa...
Watu watajifunza kitu...
Ukiona una wasaidizi wasiokusaidia WALA KUKUSHAURI VEMA BALI KUKUSIFIA JUA UMEKWISHA...
Kwenye list muongeze Ndugai.Hasira abakie nazo,awapatie kibano Bashiru,Polepole,Kabudi,Mangula,Majaliwa,Jaffo&co.Kuna mmoja wao lazima jumba bovu limkandamize siku si nyingi.Tunataka kila hoja ijibiwe kwa ufasaha,onyesheni documents hadi za Twiga Company.
Arobaini zimeshafika mkuu. Kwa kauli ya mwenyekiti wao "wanaota wamelala kitanda kimoja wanaume wawili". JAMBO LETU 28/10/2020 si la kitoto.Kwa kuiba sawa...CCM wataiba wee mwishowe wataanza kuibiana. Kwa miaka mitano wanajiimarisha kwa wizi na yawezekana wamefuzu kabisa na kupata vyeti lakini wasisahau za mwizi ni arobaini!
Pesa imetoka Hazina hii, bila shaka. Mtoto wa Dada kafungua ATM kwa CCM kwa maelekezo ya Mjomba.Andika vizuri basi, unakimbilia wapi? Au unawahi usije ukachelewa hapa...
View attachment 1580838
Kwa CCM rushwa ni oxygen, bila rushwa itakufa. Haya wahi ndugu yangu Labani og, nisije nikakukosesha mgao!
Nazani ni vyema ukanushe! Baba jesca hakusema hayo??
Daah!!! kweli ni errors ndogondogo tunaona.... Amna mkuu hizo ni errors ndogo ndogo but hao tuliwafyeka hatuwapitsha mbna
kura ni siri ya mtu,hatujui utaamka umekula mharage ya wapi.
Hawawezi kukosa waganga wao wa kienyejiBinafsi kura yangu ni kitu muhimu sana. Kabla sijampa mtu huwa natafakari kwa kina na siwezi kupiga kura kwa mihemko. Siwezi kumpigia kura mgombea mwenye kauli kama hii.
View attachment 1580494