Wallah Nakwambia wao wakimwaga mboga! Sisi tunamwaga.....................

Eeka Mangi

JF-Expert Member
Jul 27, 2008
3,173
481
Mimi nasema sikubaliani kabisaaaaaaaaaaaaa! Yaaaaaaaani yaani eti kuna hawa jamaa wanaowaosha na kuwasugua wake zetu miguu na kucha. Kama wao wanaoshwa na kusuguliwa miguu kwa nini na ninyi akina DADA wamachinga msianze na ninyi kupita huku maofisini na kwenye mabaa mkatuosha wanaume miguu na kusugua kucha? Na nyie MWAGENI mboga ala! Nawaambia mwageni mboga nasi tutawaunga mkono wallah tena!
 
niahidi kama mtakuwa mnabandika kucha na kupaka rangi....tutaanza mara moja
 
niahidi kama mtakuwa mnabandika kucha na kupaka rangi....tutaanza mara moja

Nina wivu sana na nimeshamwambia mke wangu kuwa akiendelea kuwaachia mapaja hao wasambaa wanawanyua miguu na kujidai kuwapaka rangi na mimi naenda kuanzisha mradi wangi NATAANZA KUTEMBEA NA KAGODORO CHANGU KU KWENYE MASALUNI NA MADUKANI ILI KUWAFANYIA WANAWAKE MASAJI ASIJE KUNUNA ITAKUA NGOMA DROO
 
Aisee wale jamaa wanaopaka rangi mabinti wanafaidi mno.
Mlishawahi. Kupita maeneo ya kituo cha mabasi cha mwenge?
Naitamani ile kazi.
 
Aisee wale jamaa wanaopaka rangi mabinti wanafaidi mno.
Mlishawahi. Kupita maeneo ya kituo cha mabasi cha mwenge?
Naitamani ile kazi.

Mkuu mi nawataka mademu nao waanze kutusugua miguu na kucha. Wakianze watapata wateja wengi sana.
 
Mbona wivu hivi jamani? Mbona wanaume wengi huenda Salon na kufanyiwa scrub na kuoshwa vichwa na wanawake?
Au hili mnajifanya hamlioni?
Let's be fair!!:nono:
 
Mkuu mi nawataka mademu nao waanze kutusugua miguu na kucha. Wakianze watapata wateja wengi sana.

naomba unisamehe kakangu lkn siku zoote najua wewe ni she.yaani nimeshangaa ikabidi nisome post yako mara mbili mbili nikasoma na coments za watu nikaona hakuna aliyekushangaa.bora nimejua kuwa wewe ni dume la mbegu.
 
Eti preta! Kila naposoma post zako moyo wangu una vibrate, am taking this seriously today, nimekupenda sana, nipe contact privately ntakupigia. Mwaaaa
niahidi kama mtakuwa mnabandika kucha na kupaka rangi....tutaanza mara moja
 
naomba unisamehe kakangu lkn siku zoote najua wewe ni she.yaani nimeshangaa ikabidi nisome post yako mara mbili mbili nikasoma na coments za watu nikaona hakuna aliyekushangaa.bora nimejua kuwa wewe ni dume la mbegu.

Cheusimangala! ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaa haya bwana ila ndo hivo mie mangi bibiye. Unakaribishwa huku!
 
Mbona wivu hivi jamani? Mbona wanaume wengi huenda Salon na kufanyiwa scrub na kuoshwa vichwa na wanawake?
Au hili mnajifanya hamlioni?
Let's be fair!!:nono:

Si na wao huenda salon! kwa nini sasa hivi vijamaa huwafata mpak home kwa kisingizio cha kuwarembesha miguu? Je Mama akienda kazini akarudi ghafla nyumbani anamkuta demu anamkata kucha mzee home itakuwaje?
 
Back
Top Bottom