Wall Street Journal Nov-2018: Top 10 riskiest countries to invest in mines, Tanzania rank 3rd.

Mkuu hujajifunza kitu hapo? Hizo zote ambazo zimetajwa kama ni nchi ambazo risk yake ipo juu katika kuwekeza kwenyw madini ni zile nchi ambazo zimejitambua na kuamua kupambania haki zao za maliasili kasoro DRC ambayo risk yake inatokana na ukosefu wa usalama japo inaporwa!
Nimekupata kabisa,lakini hilo lilikuwa jibu la swali niliulizwa na GT mmoja humu JF. Nilikuwa napingana na waliokuwa wanaona hizo takwimu ni negative kwetu kama Taifa, hawakuwa wameangalia upande wa pili. wao walikuwa watetezi wa wazungu wenye takwimu.
 
Endelea kuota. Eti Marekani na Ulaya ndio wawe chanzo chako cha malighafi halafu wewe ndio uwe mwenye viwanda! Endelea kuota tu. We are on the lait tlak. Tutembee vifua mbele.
Cheki ulivyojikatia tamaa, ushaconclude we can not. You're as good as dead
 
Not a good company, as per western standard. Doesn't mean they're bad
Kabla Wall Street Journal haijaandika haya, tulishasema haya.

Rais anayesema wazi atapiga mpaka shangazi za wapinzani wake anaongoza nchi vibaya.

Kwa standard yoyote yenye kutumia akili.

Unakataa?
 
Unajua kusoma?

Umesoma thread hii inajadili nini?
thread inahusu regulations uncertainty, kama anguko unalolizungumzia ni kuanguka kwenye list ya WSJ unamkosea adabu Raisi. Tangu lini WSJ imekua kipimo cha utendaji wa Jiwe?
 
thread inahusu regulations uncertainty, kama anguko unalolizungumzia ni kuanguka kwenye list ya WSJ unamkosea adabu Raisi. Tangu lini WSJ imekua kipimo cha utendaji wa Jiwe?
Jiwe kaanguka hata kwa vipimo vya TWAWEZA mapaka akaanza kuhoji uraia wa Aidan Eyakuze.

TWAWEZA nao ni WSJ?

Watanzania wote wanaomsema vibaya Jiwe hapa JF ambao waliona haya yanakuja na kutabiri kabla hata WSJ hawajaandika ni WSJ?

Eyakuze’s citizenship probe in new twist
 
Hahaha cha mtu mavi, wawekeze huko kwao. Mbona sijawahi kusikia wanataka kujenga viwanda hapa kwetu, wao kuchimba madini tu, kwani kwao hakuna ardhi. Nasi tunataka iphone zitengenezwe Tanzania, madini tuchimbe huko USA na Ulaya.
Sawa katengeneze i phone zako.....akili za kipuuzi sana za ki ccm...
 
Nimekupata kabisa,lakini hilo lilikuwa jibu la swali niliulizwa na GT mmoja humu JF. Nilikuwa napingana na waliokuwa wanaona hizo takwimu ni negative kwetu kama Taifa, hawakuwa wameangalia upande wa pili. wao walikuwa watetezi wa wazungu wenye takwimu.
Tunaweza kusema ni habari njema kwetu lkn kwa upande mwingine tuna sera ya viwanda, tutakimbiwa na wawekezaji, swali la kujiuliza je tupo tayari ku sustain hilo kwa muda gani.
 
Kabla Wall Street Journal haijaandika haya, tulishasema haya.

Rais anayesema wazi atapiga mpaka shangazi za wapinzani wake anaongoza nchi vibaya.

Kwa standard yoyote yenye kutumia akili.

Unakataa?
Sawa alisema, kwani kawapiga? Ni maneno tu, mbona trump anasema mengi hatimizi and he's performing.
Mnatakiwa kuelewa huyu bwana anabonga sana lkn si kila kitu anafanya kama alivyosema a certain type of persona u got to be used to, because people luv him they know and see he's there for the majority poor people.
 
Cheki ulivyojikatia tamaa, ushaconclude we can not. You're as good as dead
Hata ujitie moyo vipi, wazo la kuigeuza Ulaya na Marekani kuwa chanzo chako cha malighafi, halafu wewe ndio uzalishe bidhaa za viwanda ni ndoto za alinacha. Sikatai ukweli kuwa tunaweza kuwa nchi ya viwanda na tukawa nchi tajiri kama hizo za magharibi. Hilo linawezekana kabisa kama akili ndogo itaacha kuongoza akili kubwa kwenye nchi yetu. Ninachokataa ni kuunga mkono imani yako kuwa Tanzania itakuwa nchi ya viwanda kuzidi Ulaya na Marekani. Hiyo ni ndoto ya alinacha. Heri useme tutalingana nao na kuwa kama wao. Au unataka kutuaminisha kuwa wamarekani nao wataishi kwa kutegemea mitumba ya nguo na viatu kutoka Tanzania kama mtu mmoja alivyowahi kutuambia!
 
Tunaweza kusema ni habari njema kwetu lkn kwa upande mwingine tuna sera ya viwanda, tutakimbiwa na wawekezaji, swali la kujiuliza je tupo tayari ku sustain hilo kwa muda gani.

Muwekezaji atakaye kimbia TZ ni yule aliyekuwa kazoe ujanha ujanja wa kukwepa kodi na kuajiri vibarua miaka 10 mfanyakazi ni kivarua. Hao watakimbia hasa wahindi ujanha ujanja mwingi.

Kaukijua wako wakezaji tena wa maana ba wenye uwezo mkubwa kifedha walishindwa kuwekeza nchi kwa kutaa kutoa rushwa za 10% ima kutoa share za umiliki wa vitega uchumi vyao wanavyota kuwekeza kwa wenye mamlaka ya kuzitoa ruksa za uwekezaji.

Jua kuwa huko duniani wako wapenda haki na wanaochukia huu unyonyaji tuliokuwa tufanyiwa na wawekezaji matapeli hapa nchi. Kwengeni wabauliza viongozi wenu wanajitambua kweli wakiona mambo yalivyokuwa yakiendeshwa.
 
Aliyechangia hii report anaweza kuwa mganda au mkenya( Nick bariyo) . Hivi ni vita vya kiuchumi . Majirani kupitia waandishi Wao wanajaribu kupeleka ripoti mbaya kuhusu Tanzania ili wao majirani wanufaike kwa uwekezaji kuhamia Kwao au Tanzania kuporomoka kiuchumi ili iwe faida kwao.
Ni Kama yule aliyeandika benki ya Dunia imeinyima msaada Tanzania .
 
Back
Top Bottom