Waliyoyasema wapinzani Bungeni kuhusu sekta ya madini na gesi lakini wakaishia kupuuzwa

Irudishwe bungeni hii hotuba ingawa kumbukumbu zipo au tv za tbc, itv na nyingine ziitoe hii hotuba leo.
 
Yale yoote wapinzani waliyoyasema sasa yanafanyiwa kazi na Raisi wetu Shupavu na Makini Mheshimiwa JPM.Watanzania wote tumuunge mkono katika harakati hizi
 
Hii ni clipya hotuba ya Kambi Rasimi ya Upinzani Bungeni.


Mara upo upande wa Tundu Lisu kuwa serikali italipa gharama kubwa baadaye. Mara unasema Mh Magufuli anafuata walichokisema na kukishauri wapinzani zamaani. Wewe mwanamke kuwa na msimamo basi?
 
siku JPM atanifurahisha ni siku akimtandika mtu risasi hadharani....aaaaa kwa nn bana walizidi sana
 
Mara upo upande wa Tundu Lisu kuwa serikali italipa gharama kubwa baadaye. Mara unasema Mh Magufuli anafuata walichokisema na kukishauri wapinzani zamaani. Wewe mwanamke kuwa na msimamo basi?
Hata akili ya kuelewa huna!

Tunachowambia hapa ni kuwa mlipaswa kuwa wasikivu wakati mnashauriwa kuhusu maswala ya madini na gesi na hata huyo Muhongo asingekuwa waziri kama mngewasikiliza wapinzani.
 
Hii ni clip ya hotuba ya Kambi Rasimi ya Upinzani Bungeni.



Wale mavuvuzela ya lumumba Lizaboni, Ritz, jingalao, Queen Ester, Nyani Ngabu, na wengine alikaneni mje mjibuhoja hapa.

Mmejiona naman mlivyo wajinga sasa wa kubisha tu bila ufahamu?

Mtaendelea kung'ang'ana na ushabiki wenukwenye miswada mauti au mtakubali sasa kwamb wapinzani wako miaka 1000 mbele yenu?

Sioy muda muafaka sasa wa kukubali kwamba ccm ni mauti kwa tifa na kwamba hamna uwezo wowote wa kuendeleza nchi?

Mtasifia hatua hizi kwa uvuvuzela zaidi,au mtaendelea na uvuvuzela wa awali wa kusimamia miswada mauti?

Njoni hapa tunawahitji!
 
Hata akili ya kuelewa huna!

Tunachowambia hapa ni kuwa mlipaswa kuwa wasikivu wakati mnashauriwa kuhusu maswala ya madini na gesi na hata huyo Muhongo asingekuwa waziri kama mngewasikiliza wapinzani.

Dont live on the past.sasa hivi JPM anayatekeleza yote hayo ila wewe unang'ang'ania walikuwa walikuwa.how about now?
 
Hii ni clip ya hotuba ya Kambi Rasimi ya Upinzani Bungeni.


Ukistaajabu ya Musa utaona ya Firauni. Sasa hivi kwa kuwa mkuu kalianzisha, wabunge wote wa CCM watamuunga mkono kuwa mikataba ya madini ni mibovu, na cha kushangaza zaidi hakuna kumbukumbu zozote zinazoonyesha kuwa waliwahi kuilalamikia mikataba hiyo. Wakati huo huo sheria zote mbovu zihusuzo madini waliziptisha wao kwa uwingi wao bungeni, tena kwa miswada ya dharura. Ama kweli kuwa kuwa mbunge wa CCM ni usanii tosha.
 
Ndio maana anasema siku tukiacha uvyama tukasimama pamoja kama taifa ndio tutafanikiwa!
Ila kwa hii tabia ya ccm kuona Suala lililoibuliwa Na upinzani kama hakuna chochote, tutaendelea kuibiwa mpaka akili zitukae sawa!

Halafu eti sasa hivi hii mijitu ya ccm unasema tuuungane? Kisa limeanzishwa Na mtu wa ccm!

Ujinga huu
 
Ndio maana anasema siku tukiacha uvyama tukasimama pamoja kama taifa ndio tutafanikiwa!
Ila kwa hii tabia ya ccm kuona Suala lililoibuliwa Na upinzani kama hakuna chochote, tutaendelea kuibiwa mpaka akili zitukae sawa!

Halafu eti sasa hivi hii mijitu ya ccm unasema tuuungane? Kisa limeanzishwa Na mtu wa ccm!

Ujinga huu

Ndio.magu.anawaamsha usingizini
 
Back
Top Bottom