snowhite
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 17,687
- 23,568
Leo sisi ni wazazi wa watoto wetu lakini jana tulikuwa watoto wa wazazi wetu. Tutafakari jana yetu na leo yao!
Kipi unaona wazazi wako walifanya kwako lakini wewe hufanyi kwa wanao au wanao hawafanyi kwako!
Inakuathiri kwenye malezi /makuzi ya wanao. Inakusaidia kwenye maalezi/makuzi ya wanao
Mamangu alikuwa ana msemo "not in my house not when i am alive" Ilitushape flan hivi! Inaturudia mpaka ukubwani sasa kiasi kuna vitu najikuta kabisa siwezi kufanya sauti yake inaleta mwangwi hivi! Lakini sijawahi waambia wanangu kauli hii!
Sina sababu yoyote ya kimsingi but naona kama ilibidi niwe nawaambia! Well hebu leo tuongee kuhusu watoto na kusahahu baba na mama zao kidoooogo!
Ruksa pia hata watoto walio na wazazi wanaona kabisa mi nawish babangu/mamangu angekuwa ananikemea hivi au anasema hivi kwangu labda nisingekuwa hivi(najua tuna teenagers humu)
Inaweza saidia mtu fulani mahala fulani!
Karibu!
Kipi unaona wazazi wako walifanya kwako lakini wewe hufanyi kwa wanao au wanao hawafanyi kwako!
Inakuathiri kwenye malezi /makuzi ya wanao. Inakusaidia kwenye maalezi/makuzi ya wanao
Mamangu alikuwa ana msemo "not in my house not when i am alive" Ilitushape flan hivi! Inaturudia mpaka ukubwani sasa kiasi kuna vitu najikuta kabisa siwezi kufanya sauti yake inaleta mwangwi hivi! Lakini sijawahi waambia wanangu kauli hii!
Sina sababu yoyote ya kimsingi but naona kama ilibidi niwe nawaambia! Well hebu leo tuongee kuhusu watoto na kusahahu baba na mama zao kidoooogo!
Ruksa pia hata watoto walio na wazazi wanaona kabisa mi nawish babangu/mamangu angekuwa ananikemea hivi au anasema hivi kwangu labda nisingekuwa hivi(najua tuna teenagers humu)
Inaweza saidia mtu fulani mahala fulani!
Karibu!