Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,026
Kutumia pesa bila kufuata kanuni na sheria matokeo yake ndio haya ,pesa zote zimepelekwa kwenye ndege ,standard gauge, stiegersgorge , matokeo yake pesa kwenye mzunguko hakuna ,sasa serikali utapata wapi kodi ya kuendesha nchi ,majibu vitambulisho vya wajasilia Mali .