Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,478
- 2,301
Katika kamradi kangu kanakoniingizia kipato nimeajiri vijana wawili ili tusaidiane kupiga vita umasikini. Amepita mtendaji anasema ni lazima wale vijana niwakatie vitambulisho vya machinga ili watambulike.
Waziri Jaffo please tunaomba mtueleweshe wananchi, mlipowaita wakuu wa mikoa na wilaya mara ya pili ili kupeana mbinu za kugawa vitambulisho vilivyoonekana kusua sua ndicho mlichoagiza? Maana huku mtaani tumeanza kukiona cha mtema kuni
Waziri Jaffo please tunaomba mtueleweshe wananchi, mlipowaita wakuu wa mikoa na wilaya mara ya pili ili kupeana mbinu za kugawa vitambulisho vilivyoonekana kusua sua ndicho mlichoagiza? Maana huku mtaani tumeanza kukiona cha mtema kuni