Walisoma pamoja: Mbowe na Ndugai pale Kibaha, Lowassa na Dkt. Mwakyembe kule Milambo na Dkt. Slaa na Membe Itaga seminary

Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
Mbowe alisoma sekondari? Vithibitisho tafadhali.
 
Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
Secondary Mbowe alikuwa anamwonea Ndugai kitaaluma,sasa andunje kapata nafasi ndo maana analipiza kwa kila hali
 
Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.

Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary

Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary

Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary

Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary

Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.

Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.

Ni mtazamo wangu tu.

Maendeleo hayana vyama!
Kweli bana hawa jamaa wanafanana hadi tabia





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom