Myangu
JF-Expert Member
- Dec 15, 2012
- 7,172
- 9,700
Wewe ni group la Halima mdee, Asharose migiro
Wewe ni group la Halima mdee, Asharose migiro
Mlijiona ni bora kuliko wenzenu hata kama waliwatangulia madarasa. Hata ukiwa kiranja mkuu bado ulitamani kuwa monitor darasani.
Akapiga zeroMbowe kumbe ni kichwa!! Kibaha Sekondari!! Halafu bado kuna baadhi ya wadau wanamkejeli!!
Weka na wewe yakwako.
Mbowe alisoma sekondari? Vithibitisho tafadhali.Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.
Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary
Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.
Ni mtazamo wangu tu.
Maendeleo hayana vyama!
Mwanzoni akiwa Naibu Spika alikuwa na uso wa bashasha full time! Alikuwa na muonekano wa kutenda mema na makuu pale angekuwa full speaker kwa tawala design ya JK.
Kumbe ndo maana .😂😂😂
Nabii Tito shule moja na Mkuu wa Mkoa wa naniliu😯Waliosoma shule moja na nabii Tito mikono juu tafadhali.
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Secondary Mbowe alikuwa anamwonea Ndugai kitaaluma,sasa andunje kapata nafasi ndo maana analipiza kwa kila haliNajikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.
Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary
Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.
Ni mtazamo wangu tu.
Maendeleo hayana vyama!
Kweli bana hawa jamaa wanafanana hadi tabiaNajikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.
Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary
Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.
Ni mtazamo wangu tu.
Maendeleo hayana vyama!