900 Itapendeza zaidi
JF-Expert Member
- Nov 19, 2017
- 5,575
- 5,861
NdugaiMbowe alisoma sekondari? Vithibitisho tafadhali.
NdugaiMbowe alisoma sekondari? Vithibitisho tafadhali.
Simon Nyakoro Sirro sikutegemea km atakuwa polisi, alikuwa mseminari mzuri sana
Daima toa bila kukumbuka na Pokea bila kusahau
Labda kama alichelewa kuanza shule Benjamin Mkapa ni shule mpya sana mpaka mtu aliyezaliwa Mwaka 1975 awe amesoma pale!!!Wewe unaijua Ununio sec?.....labda alihamia huko baadae lakini Bashe, Polepole na Jerry Slaa walikuwa Benjamin Mkapa!
Polepole alisoma Oysterbay Primary School na Tambaza.Labda kama alichelewa kuanza shule Benjamin Mkapa ni shule mpya sana mpaka mtu aliyezaliwa Mwaka 1975 awe amesoma pale!!!
KIBAHA ya kipindi hicho ni vipaji maalum, kama Moshi Tech, ilboru, umbwe, Tosa na Mzumbe, mnafikir MBOWE ana Masters ya kupewa kama Madaktari wetu hata kingereza hawajui?Najikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.
Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary
Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.
Ni mtazamo wangu tu.
Maendeleo hayana vyama!
kwasababu mayai yalikuwa na bei pindi kileSasa mbowe ilikuaje alitaga wakati alisoma shule nzuri?.
Hivi Nkamia kashamaliza kuwapa HIV & TB mabinti zetu pale UDOM!?
Kwani ni mgonjwa mkuu?Hivi Nkamia kashamaliza kuwapa HIV & TB mabinti zetu pale UDOM!?
Naomba kuuliza na makonda na kigwangala alafu na mwigulu na lugolaNajikumbusha tu historia ya shuleni na namna watu mnavyoweza kufanana kitabia kutokana na mazingira mliyosomea.
Mbowe na Ndugai ni zao la Kibaha secondary
Lowassa na Dr Mwakyembe ni zao la Milambo secondary
Dr Slaa na Membe wao ni Itaga seminary
Polepole na Bashe zao la Benjamin Mkapa secondary
Siyo kwamba walikuwa darasa moja bali shule moja yawezekana vidato tofauti kama mimi na mzee Mgaya pale Tosamaganga secondary.
Ila katika pair zote hapo juu hii ya Mbowe na Ndugai inatuonyesha Kibaha secondary kulikuwa na ubabe ubabe sana yaani udikteta fulani hivi au unyapara nyapara.
Ni mtazamo wangu tu.
Maendeleo hayana vyama!
Kama Lazaro Nyalandu,Pascal Mayalla ,Dr Ayoub Ryoba,F.Tluway Sumaye, Mwigulu Nchemba ,bato ,hao ni Ilboru alumni