Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,653
- 8,584
Mpaka Mbowe abaki peke yake. Yaani ni kama kula nyama ya binadamu. Huachi!Usaliti ni laana
Mpaka Mbowe abaki peke yake. Yaani ni kama kula nyama ya binadamu. Huachi!Usaliti ni laana
Mkuu wale walishafutwa uanachama yaani hyo appeal wakishinda ndio watarudishiwa till then wao ni independent kabisa pending appeal!!Nyumbu hovyo kabisa, wanaacha kuwafuta uwanachama waliosindikizwa wanawafuta waliowasindikiza. Hadi leo rufaa haisikilizwi kisa Mbowe anakula ruzuku.
Kwani wanasiasa wapo after money au power? Hvi Makonda au Kimei kugombea ubunge ni kwa ajili ya pesa?Kwani huko chadema walikuwa wanalipwa kiasi gani, tujuzane hapa ili tuone kama wamepoteza masilahi au wamepunguziwa mzigo wa kujitolea?
Nadhani unaongea usichokijua, chini ya jua hakuna mwanadamu anyetaka kufanyia hasara tu, na kama yupo mtaje hata mmoja.Kwani wanasiasa wapo after money au power? Hvi Makonda au Kimei kugombea ubunge ni kwa ajili ya pesa?
Influence ikipotea money means nothing maana hautokua na mtaji wa kisiasa ili kukujebgea fursa za uongozi huko mbele.
Mfano Lipumba alipata Billions aliporudi CUF na kuwapora hta ruzuku but ssa ana kipi? Pesa ilimsaidia au political capital ndio imesababisha anguko lake?
Fanya uchunguzi ujiridhishe jombaa, achana na maneno yakina johnbaptistKwani sio wanachama tena? Mbona nilisikia mmewasamehe? Na mbona ruzuku mnachukua?
Kumbe wanatoaga risitiUnao ushahidi wa risiti za malipo ya RUZUKU?
Narudia tena kwa wanasiasa power comes first kabla ya hela. Wale walikubali kununuliwa sababu walihakikishiwa post zao za ubunge ila wangelipwa alafu wapishe wangekubali???Nadhani unaongea usichokijua, chini ya jua hakuna mwanadamu anyetaka kufanyia hasara tu, na kama yupo mtaje hata mmoja.
Huko chadema ni pesa ndo zimewavuruga sasa wewe unaongea nini hapo?
Wakati mnasema wananunulika sasa hapo yalikua maslahi ya chama au ni pesa kwanza?
Bravo and congratulations.Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) mkoa wa Mara kimewavua uongozi na kuwafuta uanachama wanachama wake nane akiwamo aliyekuwa Mwenyekiti wa Baraza la Wazee Wilaya ya Tarime kwa kosa la kuwasindikiza waliokuwa viongozi na wanachama wa chama hicho Ester Bulaya na Esther Matiko bungeni Dodoma pamoja na kukiuka sheria za chama.
=====
Uongozi wa CHADEMA mkoani Mara umewafuta uanachama na kuwavua nyadhifa za uongozi watu nane akiwemo Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wilaya ya Tarime.
CHADEMA kimefikia maamuzi hayo baada ya wanachama hao kuwasindikiza bungeni, Ester Bulaya na Esther Matiko ambao ni wabunge wa viti maalum ambao waliwahi kuwa wanaCHADEMA.
Aidha Peter Makwi ambaye alikuwa Katibu wa CHADEMA Jimbo la Tarime Mjini ametuhumiwa kuwa anajitangaza kuwa ni Katibu wa Esther Matiko ambaye hatambuliki na Chama.
CHADEMA kiliwafukuzwa uanachama wabunge 19 walioapishwa kuwa viti maalum, kwa sasa bado rufaa yao haijatolewa majibu kama wanaendelea kutambulika kama wanachama wa CHADEMA.
View attachment 1722853
ITV