Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,504
- 217,767
Humphrey Polepole ambaye ndiye aliyekuwa ofisa mazungumzo (manunuzi) siku yoyote ataachia kiti cha uenezi kwa vile kishaingia bungeni. Huku mlipaji mkuu wa chama ambaye ni Katibu Mkuu Mh Bashiru Ally akiteuliwa kuwa Katibu Mkuu kiongozi wa Ikulu, na bila shaka ataondoka kwenye Ukatibu Mkuu wa CCM
Watakuja wengine wenye mipango mipya, hofu yangu ni kwa vijana walioshawishiwa watukane walikotoka. Je, ni nani atawakumbuka ikiwa ahadi ya kupewa vyeo haikuandikwa popote?
Watakuja wengine wenye mipango mipya, hofu yangu ni kwa vijana walioshawishiwa watukane walikotoka. Je, ni nani atawakumbuka ikiwa ahadi ya kupewa vyeo haikuandikwa popote?