wadau naombeni kama party of history anayefahamu aniambie majina ya watu waliowahi kuwa wenyekiti wa cdm, tangu kuanzishwa kwake...
chadema :
1. Edwin mtei
2. Bob makani
3. Freeman mbowe
ccm:
1. Mwalimu julius kambarage nyerere
2. Mtukufu alhaji ally hassan mwinyi
3. Ndugu benjamin william mkapa
4. Jakaya mrisho kikwete
cuf :
1. James mapalala
2. Profesa ibrahim haruna lipumba
udp :
1. John momose cheyo
dp:
Mch.christopher mtikila...
.
End
umesahau chadema ilianzishwa na nani?lowasa monir lowasa akishirikiana na mtei musa kaka wa edwini mtei u hujui uulize sio unatoa majibu hasi hapa
Mbowe kweli ni boom. Angalia alivyojenga chama. Katika kipindi cha miaka mitano kimetoka kuwa na wabunge 4 hadi 46. He is a real boom.Katika wenyekiti wote wa chadema waliopita. Boom ni huyu wasasa, hajui hata kuongea, hana diplomasia, hana kisomo, hajawahi kuwa hata monitor shule. Nawahurumia Chadema.
Katika wenyekiti wote wa chadema waliopita. Boom ni huyu wasasa, hajui hata kuongea, hana diplomasia, hana kisomo, hajawahi kuwa hata monitor shule. Nawahurumia Chadema.