Ni ndoto ya kila mmoja kati yetu kwenda kwenye nchi anayoipenda iwe ni kusoma, kutalii au hata kutafuta ridhiki(kufanya kazi).
Povu.Ni ndoto ya kila mmoja wetu, wewe na nani?
Speak for yourself!
Sio kila mmoja ana ndoto ya kusafiri! Umetuuliza wote hapa tukakwambia tuna ndoto ya kusafiri? Get a grip!
We mtu UPO?Povu.
Mkuu una experience kidogo na K-1 visa za Usa?
Achana na masuala ya series chief, wewe kama mtanzania unaexperience na K-1 visa? Ulisha ona mtu akifanikiwa kwa hii visa na je changamoto na muda wake kukamilika kwa upande wa embasay nchini uko vipi?Fuatilia series ya 90 DAYS FIANCÉ kwa TLC.Check YOU TUBE.
Labda una Ngwengwe a.k.a NgomaHabari wanajamvi?
Ni ndoto ya kila mmoja kati yetu kwenda kwenye nchi anayoipenda iwe ni kusoma, kutalii au hata kutafuta ridhiki(kufanya kazi).
Niukweli usiopingika kwamba kumekua na changamoto kubwa hasa katika upatikanaji wa pass ya kukuruhusu kuingia katika nchi husika (VISA).
Ningependa leo tujadili uzoefu kutoka kwa watu tofauti je ni changamoto zipi walipitia na waliwezaje kuzikabili mpaka kufanikisha kupata Visa zao?
Binafsi niliomba visa ya Canada, mbali na ku attach document muhimu kama Invitation letter, bank statement, traveling iternary n.k bado jamaa walinitolea nje kwa sababu tu, ati travel history yangu haiwaridhishi.
Karibuni wadau mliopitia au mnaopitia katika michakato hii.
Wasalaam.
Uongo mtupuHao jamaa wa CANADA NA MAREKANI udini unawasumbuwa... Ukiwa JINA LA KIISLAM,,, ni pingamizi namba moja... Pili UMRI,,, ukiwa na under 40 pia ni changamoto,,, pia travel esperiance pia ni tatizo...
Kwa million 30 ni ndogo sana kwa UlayaNi kweli mkuu hata mimi nilishangaa,tena wakasema pia financial statement yangu haijatosheleza wakati bank statement ilionyesha mzunguko wa hela mpaka mil 30,,nashindwa kuelewa.
Ni kweli kabisaHakuna viza ngumu duniani kama CANADA,,MAREKANI,, AUSTRALIA......na ukiwa na viza za hizi inchi POPOTE ukiomba ni ngumu kukosa,,mimi PASPORT yng ina visa ya SPAIN,,BELGIUM,,GREECE,,tena zote nilisafiri nikarudi ON DUE DAYS nilizopewa,,,cha ajabu nina kila kitu kinachohitajika kupewa visa,,wakaninyima,, MAREKANI waliniuliza mwenyeji wako anafanya kazi wapi?kama ni rafiki yako for 5 years lazima ujuwe,,,wakati wana INVITATION LATTER YAKE,,na kila kitu chake,, ,CANADA nao walisema tu hatujaridhika na wewe wakati tume submit visa applications na mzee wangu mmoja kama safari ni moja tunasafiri pamoja kikampuni,,basi baada ya kama week 3 of submit the documents wakajibu hawakujiridhisha na mimi,,ila yule mzee alipewa 8 years viza tena MULTIPLE....AUSTRALIA wao walininyima bila maelezo,,sijuwi shida nn..SOMETIMES nadhani ni BAHATI NA UMRI pia unachangia kupata au kukosa viza
Hongera sanaWakuu September 2018 nataka nikasafishe nyota UK vp mchakato wa VISA nina mwenyeji (Bibi wa Kizungu).
Tusiharibiane safari, huyu bibi nimestruggle sana kumpata ilibidi kufuga rasta na kujifunza kuchonga vinyago pale mwengeHongera sana
Ni pm mkuu tuyajenge
hapana shida mkuu kwanza hongera kwa hiyo hustle. I mean Nakushauri unge apply kwa fiance visa, ili wasikureject kwa visiting visa.Tusiharibiane safari, huyu bibi nimestruggle sana kumpata ilibidi kufuga rasta na kujifunza kuchonga vinyago pale mwenge
Check dmYeah... ukiwa unaongea na consular be strong na umkazie macho.... jibu maswali kwa ufasaha na ukumbuke majibu yote!! Kikubwa sana weka documents zitazowaridhisha huendi kuzamia
Hiyo fiance viza inakuaje?hapana shida mkuu kwanza hongera kwa hiyo hustle. I mean Nakushauri unge apply kwa fiance visa, ili wasikureject kwa visiting visa.
Hiyo fiance viza inakuaje?