Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,746
- 40,899
KUna baadhi ya viongozi ambao waliwahi kujiuzulu kwa sababu mbalimbali na baadaye waliweza kujiokoa walipopewa nafasi nyingine. Kuna waliojiuzulu ili kupisha wengine ili wao wafanye mambo mengine na kuna waliojiuzulu kwa sababu walifikia ukingoni... Majina yanayonijia kwa haraka ni:
Mwalimu Nyerere - Alijiuzulu Uwaziri Mkuu na kumwachia Kawawa
Ally Hassan Mwinyi- alijiuzulu Uwaziri wa Mambo ya Ndani kufuatia mauaji ya Shinyanga
Idi Simba - Alijiuzulu Uwaziri wa Viwanda na Biashara kufuatia Kamati Teule kuundwa kuhusu misamaha ya kodi ya Sukari
Kighoma Malima - Sikumbuki vizuri alijiuzulu katika mazingira yapi na kama alijiuzulu kabisa au alitishia kujiuzulu...
Wengine kina nani waliowahi kujiuzulu na kwanini walijiuluzu; na je waliishia wapi?
Mwalimu Nyerere - Alijiuzulu Uwaziri Mkuu na kumwachia Kawawa
Ally Hassan Mwinyi- alijiuzulu Uwaziri wa Mambo ya Ndani kufuatia mauaji ya Shinyanga
Idi Simba - Alijiuzulu Uwaziri wa Viwanda na Biashara kufuatia Kamati Teule kuundwa kuhusu misamaha ya kodi ya Sukari
Kighoma Malima - Sikumbuki vizuri alijiuzulu katika mazingira yapi na kama alijiuzulu kabisa au alitishia kujiuzulu...
Wengine kina nani waliowahi kujiuzulu na kwanini walijiuluzu; na je waliishia wapi?