mteule senior
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 281
- 192
Habari za majukumu wadau,
Nimesikia watu wengi wakielezea kuwa unapoitwa kwenye written interview ya utumishi tegemea kukutana na maswali tofauti na madesa ya chuo.
Naomba wazoefu washee nasi ni maswali ya aina gani huuliza katika written interview ikiwezekana na jinsi ya ku overcome possible traps
Ahsanteni.
Nimesikia watu wengi wakielezea kuwa unapoitwa kwenye written interview ya utumishi tegemea kukutana na maswali tofauti na madesa ya chuo.
Naomba wazoefu washee nasi ni maswali ya aina gani huuliza katika written interview ikiwezekana na jinsi ya ku overcome possible traps
Ahsanteni.