rugumye
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 561
- 178
Ndugu wanajamii nyumba za serikali zilizouzwa zinawaingizia faida kubwa waliozinunua (MASAKI-DAR), mfano nyumba moja hupangishwa kwa $10,000 mpaka $15,000 kwa mwezi sawa na 16mil mpaka 24mil.
Waheshimiwa hawa hawalipi kodi za serikali kwaani baadhi hawana TIN wala hawajasajiliwa VRN. Pia nyumba hizi asilimia kubwa hazina mita za maji (wanalipa flat rate 20,000/= NA 30,000/= kwa mwezi huku zote zikiwa na reserve tanks kuanzia lita 10,000 mpaka 30,000 za ujazo) hivyo huikosesha mapato DAWASCO.
Kumwagilia bustani huku masaki siyo issue kwaani maji ni ya kumwaga hakuna tofauti kati ya masika na kiangazi ni evergreen mwaka mzima. Ukiuliza nyumba hizi ziliuzwa kwa gharama ya shilingi ngapi utacheka, nimeambiwa kuwa nyumba ya bei ya juu iliuzwa 100milion.
HOJA YANGU: Zilirudishwe haraka ili serikali izipangishe ipate mapato zaidi. DAWASCO wafunge mita nyumba zote. kama wanakataa waandishi wa habari wafanye utafiti au waje niwape evidence kwani mimi ninafanya kazi masaki. lakini nina amini DAWASCO wanalijua hili kwaani huwa wanapita.
Je walala hoi wanalipa kiasi gani kwa mwezi?
NAWAKILISHA.
Waheshimiwa hawa hawalipi kodi za serikali kwaani baadhi hawana TIN wala hawajasajiliwa VRN. Pia nyumba hizi asilimia kubwa hazina mita za maji (wanalipa flat rate 20,000/= NA 30,000/= kwa mwezi huku zote zikiwa na reserve tanks kuanzia lita 10,000 mpaka 30,000 za ujazo) hivyo huikosesha mapato DAWASCO.
Kumwagilia bustani huku masaki siyo issue kwaani maji ni ya kumwaga hakuna tofauti kati ya masika na kiangazi ni evergreen mwaka mzima. Ukiuliza nyumba hizi ziliuzwa kwa gharama ya shilingi ngapi utacheka, nimeambiwa kuwa nyumba ya bei ya juu iliuzwa 100milion.
HOJA YANGU: Zilirudishwe haraka ili serikali izipangishe ipate mapato zaidi. DAWASCO wafunge mita nyumba zote. kama wanakataa waandishi wa habari wafanye utafiti au waje niwape evidence kwani mimi ninafanya kazi masaki. lakini nina amini DAWASCO wanalijua hili kwaani huwa wanapita.
Je walala hoi wanalipa kiasi gani kwa mwezi?
NAWAKILISHA.