technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Yaani bado kabisa tuna safari ndefu mno Zanzibar walivunjwa miguu na kuuwawa na Utawala wa Magufuli
Watu kwa maelfu wamewekewa vilema vijana kwa wazee.
Haki za hawa watu ukiunganisha na Wa huku bala waliouwawa kama Akwilina,Azory Gwanda, Ben Saanane na Tundu Lissu wanapataje haki zao?
Samia bado sana ana kazi ya kufanya.
Watu kwa maelfu wamewekewa vilema vijana kwa wazee.
Haki za hawa watu ukiunganisha na Wa huku bala waliouwawa kama Akwilina,Azory Gwanda, Ben Saanane na Tundu Lissu wanapataje haki zao?
Samia bado sana ana kazi ya kufanya.