kibaravumba
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 6,635
- 7,005
Hawa Iran ameuwawa mtu mmoja tu,nchi mzima imezizima kwa mihemko ati wanalipiza kisasi.Na kweli wameanza kuua hovyo hovyo na kusingizia ni bahati mbaya.
Sasa iwapo mtu mmoja ameuwawa,mkajiapiza kulipiza kisasi,sasa na ninyi ni muda wa kupigwa kwa kupoteza raia wengi wasio na hatia wa mataifa mengine.
Upuuzi wa hawa waarabu ndio maana wanalazimishwa wasimiliki silaha za nuclear.Kwa uzembe kama huu,si watasababisha majanga duniani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa iwapo mtu mmoja ameuwawa,mkajiapiza kulipiza kisasi,sasa na ninyi ni muda wa kupigwa kwa kupoteza raia wengi wasio na hatia wa mataifa mengine.
Upuuzi wa hawa waarabu ndio maana wanalazimishwa wasimiliki silaha za nuclear.Kwa uzembe kama huu,si watasababisha majanga duniani?
Sent using Jamii Forums mobile app