TAMKO
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 1,090
- 762
Serikali ijiandae
Tumefurahishwa na taarifa ya Pigo la ajali lililomkuta mmoja wa Kikosi kilichotumwa Huko AK kumwangamiza Dr Ulimboka. Ajali hiyo ambayo mpaka sasa ni Siri ya Kikosi haijulikani ilimpata wapi na kwa nini lakini kikosi kimeonekana kujitosa kumtibia mwenzao ambaye alitapakaa damu na kupoteza nyuzi kadhaa walizoziandaa juu ya kutafuta wapi alipo Dr. Ulimboka.
Kikosi Hicho ambacho kinalalamika kukosa ushirikiano na wenzao wenye makazi ya Kudumu AK, kinakiri mpaka sasa Madaktari wamekuwa werevu zaidi wa kuchezesha shilingi hii kuliko wao. Kikosi hiki ambacho kama nilivyoeleza kinaundwa na Askari wa majeshi yetu yote, wale ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakishiriki vitendo haram ndani ya jamii kama ujambazi na operation za kuua kwa malipo, hawawezi kwa lolote kuacha kutimiza lengo lao kwa kuwa kama wakiasi majeshi haya basi wako hatarini kushtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa kuwa sasa kifungu cha kitanza kimeshalegezwa.
Napenda kuitahadhalisha Familia ya Dr. Ulimboka na wazee waliotumwa kumpoza Dr. Ulimboka kwamba akae kimya au atafutiwe kazi nje ya nchi asirudi Tz, au asingiziwe amekufa ili jamii Imsahau, wakifanya kitendo kama hicho watakuwa tayari wameshahalalisha serikali kummaliza Mtu huyo haraka. Kama nilivyosema Dr. Ulimboka anawafaham Fika waliomtendea Kitendo hicho na miongoni mwao ni Ndugu zake waliomo kwenye "system".. HILO LIKO WAZI KABISAA
Wazingatie ushauri wa wananchi wengi kwamba anatakiwa arudi TZ kwa siri kubwa na aibukie kwenye vyombo vyote vya habari LIVE na aelezee sakata lake mwanzo mwisho na hapo ndipo serikali itashindwa kumuua kwa maana macho ya jumuia zote yatakuwa Hapo. Zaidi ya hapo atabakia kuwa historia kama Balali..
Tumefurahishwa na taarifa ya Pigo la ajali lililomkuta mmoja wa Kikosi kilichotumwa Huko AK kumwangamiza Dr Ulimboka. Ajali hiyo ambayo mpaka sasa ni Siri ya Kikosi haijulikani ilimpata wapi na kwa nini lakini kikosi kimeonekana kujitosa kumtibia mwenzao ambaye alitapakaa damu na kupoteza nyuzi kadhaa walizoziandaa juu ya kutafuta wapi alipo Dr. Ulimboka.
Kikosi Hicho ambacho kinalalamika kukosa ushirikiano na wenzao wenye makazi ya Kudumu AK, kinakiri mpaka sasa Madaktari wamekuwa werevu zaidi wa kuchezesha shilingi hii kuliko wao. Kikosi hiki ambacho kama nilivyoeleza kinaundwa na Askari wa majeshi yetu yote, wale ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakishiriki vitendo haram ndani ya jamii kama ujambazi na operation za kuua kwa malipo, hawawezi kwa lolote kuacha kutimiza lengo lao kwa kuwa kama wakiasi majeshi haya basi wako hatarini kushtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa kuwa sasa kifungu cha kitanza kimeshalegezwa.
Napenda kuitahadhalisha Familia ya Dr. Ulimboka na wazee waliotumwa kumpoza Dr. Ulimboka kwamba akae kimya au atafutiwe kazi nje ya nchi asirudi Tz, au asingiziwe amekufa ili jamii Imsahau, wakifanya kitendo kama hicho watakuwa tayari wameshahalalisha serikali kummaliza Mtu huyo haraka. Kama nilivyosema Dr. Ulimboka anawafaham Fika waliomtendea Kitendo hicho na miongoni mwao ni Ndugu zake waliomo kwenye "system".. HILO LIKO WAZI KABISAA
Wazingatie ushauri wa wananchi wengi kwamba anatakiwa arudi TZ kwa siri kubwa na aibukie kwenye vyombo vyote vya habari LIVE na aelezee sakata lake mwanzo mwisho na hapo ndipo serikali itashindwa kumuua kwa maana macho ya jumuia zote yatakuwa Hapo. Zaidi ya hapo atabakia kuwa historia kama Balali..