Waliotumwa kumuua Dr. Ulimboka wapata PIGO Afrika Kusini

Status
Not open for further replies.

TAMKO

JF-Expert Member
Oct 11, 2011
1,090
762
Serikali ijiandae

Tumefurahishwa na taarifa ya Pigo la ajali lililomkuta mmoja wa Kikosi kilichotumwa Huko AK kumwangamiza Dr Ulimboka. Ajali hiyo ambayo mpaka sasa ni Siri ya Kikosi haijulikani ilimpata wapi na kwa nini lakini kikosi kimeonekana kujitosa kumtibia mwenzao ambaye alitapakaa damu na kupoteza nyuzi kadhaa walizoziandaa juu ya kutafuta wapi alipo Dr. Ulimboka.

Kikosi Hicho ambacho kinalalamika kukosa ushirikiano na wenzao wenye makazi ya Kudumu AK, kinakiri mpaka sasa Madaktari wamekuwa werevu zaidi wa kuchezesha shilingi hii kuliko wao. Kikosi hiki ambacho kama nilivyoeleza kinaundwa na Askari wa majeshi yetu yote, wale ambao kwa miaka mingi wamekuwa wakishiriki vitendo haram ndani ya jamii kama ujambazi na operation za kuua kwa malipo, hawawezi kwa lolote kuacha kutimiza lengo lao kwa kuwa kama wakiasi majeshi haya basi wako hatarini kushtakiwa na kuhukumiwa kifungo cha maisha kwa kuwa sasa kifungu cha kitanza kimeshalegezwa.

Napenda kuitahadhalisha Familia ya Dr. Ulimboka na wazee waliotumwa kumpoza Dr. Ulimboka kwamba akae kimya au atafutiwe kazi nje ya nchi asirudi Tz, au asingiziwe amekufa ili jamii Imsahau, wakifanya kitendo kama hicho watakuwa tayari wameshahalalisha serikali kummaliza Mtu huyo haraka. Kama nilivyosema Dr. Ulimboka anawafaham Fika waliomtendea Kitendo hicho na miongoni mwao ni Ndugu zake waliomo kwenye "system".. HILO LIKO WAZI KABISAA

Wazingatie ushauri wa wananchi wengi kwamba anatakiwa arudi TZ kwa siri kubwa na aibukie kwenye vyombo vyote vya habari LIVE na aelezee sakata lake mwanzo mwisho na hapo ndipo serikali itashindwa kumuua kwa maana macho ya jumuia zote yatakuwa Hapo. Zaidi ya hapo atabakia kuwa historia kama Balali..
 
Silly government. Endelea kutujuza. Huruma sana serikali ya majambazi.
 
Nyakati hizi ni vigumu sana kuficha ukweli! ... time n space ...issue ya Ballali itakuwa hadharani kabla ya 2015...
 
Endelea kutujuza mkuu! Serikali dhaifu ndio anguko lake hilo
 
Inasikitisha sana kama hapa ndipo tulipofikia kama nchi.
 
Kumbe kuna mkakati tena wa kumuua huko huko RSA? God please we berge for your help please, thank you God for causing thae said Accident otherwise these people could kill un innocent man?
Ningependa sana waendlee kuumbuka na kudhalilika!
 
waliomteka ulimboka hawakuwa na nia ya kumuua, kama wangekuwa na nia hiyo asingeachwa hai. kwani walikuwa na bunduki, pia wangeweza hata kumvunja shingo au hata kumnyonga akafa, kinachoonekana kwa wale wana intelijensia wataelewa, hakukua na nia ya kumuua, bali walikuwa na nia ya kumuadibisha tu kwa njia ya mateso alafu aachwe hai.

Kwa wale wenye akili watakubaliana na mimi kuwa, kiongozi wa mgomo kuuawa si rahisi sana kama wagomaji, kwasababu machafuko yanaweza kutokea mfano wananchi wangeandamana kupinga icho kitendo..hivyo hakukuwa na nia kabisa ya kumuua, kama nia hiyo ilikuwepo, hakika asingekutwa hai, angepiga tu bunduki hata palepale alipotekewa, angefuatwa nyumbani kwake akapigwa kama wale waliomfata Pro. Mwaikusa, angefanyiwa chochote na ingejulikana ni majambazi tu yamefanya hivyo....kama ulimboka ana akili, namshauri akipona aachane na mikumbo, atumie elimu yake ambayo kodi za wananchi watz masikini zilimsomesha ili wananchi hao wasife na pia ajenge maisha yake kabla hajazeeka. labda kama anataka kuwa mfia mgomo ndo aendelee kujilipua.

pamoja na kwamba ipo strong allengation kwamba serikali yaweza kuwa imehusika, cha ajabu ni kwamba ushahidi haupo. sasa kuituhuumu selikali si sahihi, labda kama serikali itakuwa inatuhumiwa kwa kushindwa kuwalinda raia wake ambapo hata hapo serikali inaonekana haijawa zembe......ulimboka ukipona, kama unanisikia, achana na mikumbo, tafuta maisha yako watoto wako waje waishi vizuri utakapozeeka au ukichukuliwa na Mungu.
 
Ivi Amnest suala la kumlinda Ulimboka waligoma?
Hao jamaa waacheni tuu Mola atawapatiliza apa apa duniani!
Wameona kuua watetea haki ni sifa na dili!
 
Sera kubwa ya Chadema uongo, majungu na fitina je ikithibitika kuwa serikali haihusiki na kisa hiki utasema nini? Dr. Ulimboka hakuwa nabii kama Yesu subiri uchunguzi ufanyike usitulee porojo

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hebu check hapo.

Join Date : 4th July 2012

Posts : 2
Rep Power : 0
Likes Received3
Likes Given0
 
Mwenyenzi Mungu amponye arudi Tanzania, akatueleze sakata lake mwanzo mwisho!
 
Sera kubwa ya Chadema uongo, majungu na fitina je ikithibitika kuwa serikali haihusiki na kisa hiki utasema nini? Dr. Ulimboka hakuwa nabii kama Yesu subiri uchunguzi ufanyike usitulee porojo

Chama
Gongo la mboto DSM
Endelea kusubiria taarifa ya serikali,hakuna aliyekuzuia
 
pamoja na kwamba ipo strong allengation kwamba serikali yaweza kuwa imehusika, cha ajabu ni kwamba ushahidi haupo. sasa kuituhuumu selikali si sahihi, labda kama serikali itakuwa inatuhumiwa kwa kushindwa kuwalinda raia wake ambapo hata hapo serikali inaonekana haijawa zembe......ulimboka ukipona, kama unanisikia, achana na mikumbo, tafuta maisha yako watoto wako waje waishi vizuri utakapozeeka au ukichukuliwa na Mungu.

Kaka upo sawa kimtazamo ila hujadadavua. Walichotaka wale jamaa ni kujua nini na nani yupo nyuma ya huu mgomo. Ndio maana walimchukua na kumtesa kama kufa afe polepole. Na Mungu alivyomkubwa inaonyesha baada ya Uli kuzimia wakajua tayar keshakufa sio haikuwa na ulazima wa kumuua kwa bunduki.

We unadhani wangekuwa na nia ya kumtesa tu si wangempeleka hospital au wangemtupa pale manzese darajani? Ndio maana hata yule polisi aliepewa kipondo pale Muhimbili siku ile alikuwa anaongea kwa tahamaki kuwa 'Jmaa bado anahema'. Upo kaka?
 
Napenda watu wema kama mtoa thread, mola na akupe maisha marefu endelea kutujuza mipango yote wanayopanga, umenikumbusha wakati mzee mengi alipoanika mipango na njia zote ambazo mafisadi walipanga kutumia kumuua wakakosa la kufanya. wito wangu kwa madaktari hasa walio karibu kabisa dr.ulimboka wamlinde vya kutosha wasimwamini hata ndugu labda baba na mama. mola yu pamoja na wenye haki, wadhalimu wataaibika punde. asante mkuu kwa taarifa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom