Waliotaka kutupiga kwa mgongo wa mgao wa umeme wameona aibu?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Oct 2, 2020
4,086
6,568
Mwezi uliopita baada taifa letu kupata taarifa kuwa kuna upungufu wa umeme kiasi cha Mw 345 taifa letu liliwekwa tayari kwa ajili ya kuanza kuzalisha umeme kwa njia mbadala badala ya maji.

Kila Mtanzania alijua wazi kuwa sasa mambo ya IPTL, Dowans na Richmond yanarudi na waTz walishajua wakati wa kupigwa kumerudi.

Kwa sasa hali ya mgao wa umeme imepungua na kila mtu anajiuliza hii mvua iliyonyesha hapa juzi kati ndio imejaza mabwawa ya kuzalisha umeme?

Au waliotaka kutupiga wameona aibu baada ya kelele nyingi za watanzania wazalendo!
 
Bosi kwani kujaza bwawa unahitaji mvua za siku ngapi?.....kuna mahala pia inapaswa kuzisikiliza na kuziamini mamlaka, huu ujuaji wetu wakati mwingine na mambo tusiyoyajua wala kuwa na data nayo zaidi ya hear say ni hatari sana kwa ustawi wa Taifa...
 
Mwezi uliopita baada taifa letu kupata taarifa kuwa kuna upungufu wa umeme kiasi cha Mw 345 taifa letu liliwekwa tayari kwa ajili ya kuanza kuzalisha umeme kwa njia mbadala badala ya maji.

Kila Mtanzania alijua wazi kuwa sasa mambo ya IPTL, Dowans na Richmond yanarudi na waTz walishajua wakati wa kupigwa kumerudi.

Kwa sasa hali ya mgao wa umeme imepungua na kila mtu anajiuliza hii mvua iliyonyesha hapa juzi kati ndio imejaza mabwawa ya kuzalisha umeme?

Au waliotaka kutupiga wameona aibu baada ya kelele nyingi za watanzania wazalendo!
Yule mkurugenzi wa Bwawa la mtera ndiye alikuwa kikwazo kwao,alivyoojiwa alisema kuna maji ya kutosha hata ukame ukipiga miezi 6,dili lao likabumia Hapo hapo, Baada ya mda utasikia mkurugenzi wa Bwawa la mtera ametumbuliwa,kisa alikataa upuuzi 😃😂😂😄
 
Sukuma Gang mnatapatapa tu,Kama mfa maji
poleni,makamba gang,watz wa Sasa hawadanganyiki kirahs mzee,tatzo makamba alitaka kucheza na time,Kama angefanikiwa mchongo alikuwa anauhakika wa kuzoa pesa lukuki kuanzia mwez oct-january ,=4 months , 150mil per day =30×4×150mils =!?tshs.
 
Mwezi uliopita baada taifa letu kupata taarifa kuwa kuna upungufu wa umeme kiasi cha Mw 345 taifa letu liliwekwa tayari kwa ajili ya kuanza kuzalisha umeme kwa njia mbadala badala ya maji.

Kila Mtanzania alijua wazi kuwa sasa mambo ya IPTL, Dowans na Richmond yanarudi na waTz walishajua wakati wa kupigwa kumerudi.

Kwa sasa hali ya mgao wa umeme imepungua na kila mtu anajiuliza hii mvua iliyonyesha hapa juzi kati ndio imejaza mabwawa ya kuzalisha umeme?

Au waliotaka kutupiga wameona aibu baada ya kelele nyingi za watanzania wazalendo!
Nani akupige we pimbi? NYie ndio kale kakikundi mlitaka kumhujumu Rais sasa ameanza kuwasala na mumenywea mnakuja kuandika tu nyuzi uchwara humu.

Serikali ndio imewapiga kama hivi 👇

Screenshot_20211208-162224.png
 
Back
Top Bottom