mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,763
- 35,205
Tunapofikia umri wa kustaafu tunatakiwa kujua tumefikia ukomo wa kipindi cha kuanzisha mambo mapya na tuko kwenye kipindi cha kuishi na kuyafurahia yale tuliyoyafanya tukiwa makazini, tukiwa na nguvu, tukiwa na nguvu na umri unaoturuhusu kurekebisha makosa.
Niseme tuu kaka yangu Antony ameongea kila kitu hata mimi mama D sina cha kuongeza hapa zaidi ya kuwaomba msiupuuzie huu ushauri
Mkawe na week yenye mafanikio na baraka tele ndugu zangu
Niseme tuu kaka yangu Antony ameongea kila kitu hata mimi mama D sina cha kuongeza hapa zaidi ya kuwaomba msiupuuzie huu ushauri
Mkawe na week yenye mafanikio na baraka tele ndugu zangu