tatizo la 3rd world ni kua maamuzi muhimu yanafanywa kisiasa na sio kisayansi. sijui hiyo political science ina science kiasi gani ndani yake. lakini ni wazi haitumiki ipasavyo. the boss, kama watu waliosoma agricultural engineering wanahesabu noti bank, acha vijana wajisomee ili walau wapige porojo za maana kidogo. niliwahi kuserviwa juice kwenye ndege na mtu aliyesoma veterinary medicine,nilichoka kabisa! namuuliza kulikoni,ananiambia inalipa! nchi inachosha hii!
waliosoma economics,law,ppm,ds wanamchango gani?
Umetokea wapi na wewe!! www ndo unayefanya mchango wa tuliosoma hii kozi pale kigamboni uonekane hauna maanapolitical science sio politics, politics inafanywa na wanasiasa na raia yeyote yule.
Umetokea wapi na wewe!! www ndo unayefanya mchango wa tuliosoma hii kozi pale kigamboni uonekane hauna maana
Mkuu kwenye nchi yetu hata mainjinia, madaktari et al hawana umuhimu wowote, waamuzi wakuu wa kila jambo ni wanasiasa wenyewe. Taaluma iko nyuma ya siasa Tanzania.. Labda unifafanulie mchango unaohitaji kuuona wa political scientists ni upi haswa? Wanazuoni wa siasa nchini mwetu aidha hufariki ktk mazingira ya kutatanisha (H. Othman, S. Chachage,) au hutengwa na Serikali (M.Baregu) au hupuuzwa tu kila wanachosema...
kutokana na mikataba feki tuliyowahi kuingia kama nchi inabidi tuanze kuhoji mchango wa Wanasheria wetu? Kuporomoka kwa thamani ya Tsh tuhoji mchango wa wanauchumi wetu? Vifo vinavyoepukika mahospitalini tuhoji mchango wa madaktari wetu? Mgao wa umeme na barabara zisizopitika, tuhoji mchango wa wahandisi wetu?