SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,903
Home sweet home my fart!!!!!!
Naona hakuna aliyejitolea kurudi kijijini kwao hadi sasa hivi!
Watu wamelowea uzaramoni lakini wanashangaa waliolowea uzunguni.
Na wakirudi wajue wanaanza upya
Comments zenu kama hizi ndio zinawafanya baadhi ya watu humu wawaone nyie 'diaspora' mnajisikia ila mtu kama mimi ambae nimeishi huko na nimeona watu kama nyinyi wengi tu huwa sipati shida kuwasikia maneno yenu.
Haya mkuu baki peponi sisi wengine tumezzoea jehanamu yetu.
Nimeipenda hii topic
Hii thread mleta mada alitaka kujua waliorudi ni nini kiliwafanya warudi kwenye nchi yenye shida kama hii ilhali wameweza kuji establish huko walipo lakini cha ajabu wengi wamejibu kwanini hawajarudi na kuleta maelezo meengi as if kuna mtu kawalazimisha warudi.Kwangu mimi, home is where I make my living! Kwa sasa hivi nyumbani ni hapa nilipo! Nikishastaafu ndio naweza kuamua kurudi, na nina uhakika vipensheni vyangu vinaweza kunifikia popote pale nitakapokuwa katika sayari hii! Haya mambo sijui ya "Home sweet home" wala hayanisumbui kwani nazuka wakati wowote ninaotaka!
Mwisho wa siku Tanzania itajengwa na wa-Tanzania. Ni vyema waliosoma nje watumie elimu na maarifa waliyopata kubadilisha hali ya maisha nyumbani. Fanya mabadiliko kutumia exposure uliyopata. Unajenga nyumba usisubiri maji ya DAWASCO, weka utaratibu wa kukinga maji ya mvua na uyahifadhi. Weka umeme wa solar, vitu vidogo vinaleta tofauti kubwa.
Kwenye huu uzi nimegundua kuwa kuna watu ambao hawapendi shida kabisa na wamezoea kuishi kwenye mazingira ambayo watawala wanafuata haki na wajibu wao ndo hao ambao hawana mpango wa kurudi. Ila wale waliozoea shida na maisha ya kuonewa na kukandamizwa na watawala ndo wamerudi..Hii thread mleta mada alitaka kujua waliorudi ni nini kiliwafanya warudi kwenye nchi yenye shida kama hii ilhali wameweza kuji establish huko walipo lakini cha ajabu wengi wamejibu kwanini hawajarudi na kuleta maelezo meengi as if kuna mtu kawalazimisha warudi.
Ni vizuri kama umegundua hivyo. You are a genius.Kwenye huu uzi nimegundua kuwa kuna watu ambao hawapendi shida kabisa na wamezoea kuishi kwenye mazingira ambayo watawala wanafuata haki na wajibu wao ndo hao ambao hawana mpango wa kurudi. Ila wale waliozoea shida na maisha ya kuonewa na kukandamizwa na watawala ndo wamerudi..
Wanachekesha hasa mtoa mada ambae anasema waliorudi ni waliozoea shida na kukandamizwa na watawala! Laughable.Mkuu umenena ya maana sana.
Hawa jamaa wa chache wenye mbwe mbwe wanategemea Nani awajengee Tanzania ili iwe kama huko majuu.Wako WaTanzania wengi walikuwa huko majuu ambao wamerudi Na wanajenga nchi kimya kimya.
Kwenye huu uzi nimegundua kuwa kuna watu ambao hawapendi shida kabisa na wamezoea kuishi kwenye mazingira ambayo watawala wanafuata haki na wajibu wao ndo hao ambao hawana mpango wa kurudi. Ila wale waliozoea shida na maisha ya kuonewa na kukandamizwa na watawala ndo wamerudi..