mgogoone
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 2,902
- 2,096
Yes, Mkuu! Unajisalimisha tu ER, hakuna atakayekunyima matibabu huko! Hawawezi wakakuacha ukawafia pale, vinginevyo wanajitafutia matatizo!
Na bila ya kusahau Medicare Au Obama care ambazo hospital nyingi tu unatibiwa