Waliosoma na kufanya kazi nje ya Tanzania

Bavaria

JF-Expert Member
Jun 14, 2011
53,102
53,357
Nawauliza watanzania waliosoma au kufanya kazi au kuishi nje ya Tanzania.

Mnapata wapi courage ya kurudi na kuishi kwenye nchi yenye shida kama hii?

Ni uzalendo? Umeshindwa kupambana huko? Umepamiss sana home? Huwezi kukaa mbali na ndugu zako? Umeona fursa Tanzania? Au sababu ni nini?

Sioni mantiki umeishi US au Europe kwa miaka 10 umefanya shughuli zako zinakuingizia vizuri halafu baada ya kipindi unarudi kuishi Tanzania.

Inawezekana vipi?
 
Tanzania ni nchi ya thamani kubwa sana. Ukitoka nje ya Tanzania ndio utajua. Hakuna kitu kibaya kama kubaguliwa au hisia za kubaguliwa. It pains a lot. Ukitembea nchi za watu huma uhuru,watu wanakutupia jicho la mgeni. Watu hawaijui thamani yako waonekana kama mkimbizi na watu wanafikiria negatives tu kuhusu ulipotoka. east west home best
 
Back
Top Bottom