TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wakuu. Hebu naomba mtupe uzoefu wenu kwnye hizo kozi kuhusu:
1. Vyuo vinavyotoa hizo kozi
2. Gharama kwa chuo ulichosoma
3. Course duration.
4. Upatikanaji wa ajira na fursa za kujiajiri
5. Changamoto kuipata hiyo masters
6. Mshahara
7. Vipi ushawahi jutia kupiga hiyo masters? Je unahisi masters ipi ipo poa?
Naomba kuwasilisha kwenu wakuu wa kijiwe.
1. Vyuo vinavyotoa hizo kozi
2. Gharama kwa chuo ulichosoma
3. Course duration.
4. Upatikanaji wa ajira na fursa za kujiajiri
5. Changamoto kuipata hiyo masters
6. Mshahara
7. Vipi ushawahi jutia kupiga hiyo masters? Je unahisi masters ipi ipo poa?
Naomba kuwasilisha kwenu wakuu wa kijiwe.