spacecraft
Member
- Dec 29, 2016
- 64
- 59
Habari wana JF,binafsi nimeanzisha uzi huu nikiwa kama mwanafunzi katika sekta ya mifugo ambaye muda si mrefu ntahitimu masomo yangu na kuingia katika mfumo wa kutafuta maisha.
LENGO: Ni kutaka kujua na kukutanisha pia wataalamu wote waliosoma sekta ya kilimo na mifugo na hatua walizopiga mpaka sasa wakitumia fani zao hizo kwa kujikomboa binafsi kiuchumi na kuleta mapinduzi katika sekta hii
MATARAJIO:Ni kupata changamoto,hamasa na ushuhuda ili usaidie kuleta ugunduzi mpya katika sekta hii na kuifanya iweze kuendelea zaid kama inavyojulikana kwamba ndo sekta mama katika ukombozi wa uchumi wa mtanzania wa kawaida kabisa.
ASANTENI,NA NATEGEMEA USHIRIKIANO WA KUTOSHA
Sent using Jamii Forums mobile app
LENGO: Ni kutaka kujua na kukutanisha pia wataalamu wote waliosoma sekta ya kilimo na mifugo na hatua walizopiga mpaka sasa wakitumia fani zao hizo kwa kujikomboa binafsi kiuchumi na kuleta mapinduzi katika sekta hii
MATARAJIO:Ni kupata changamoto,hamasa na ushuhuda ili usaidie kuleta ugunduzi mpya katika sekta hii na kuifanya iweze kuendelea zaid kama inavyojulikana kwamba ndo sekta mama katika ukombozi wa uchumi wa mtanzania wa kawaida kabisa.
ASANTENI,NA NATEGEMEA USHIRIKIANO WA KUTOSHA
Sent using Jamii Forums mobile app