tatum
JF-Expert Member
- Jan 16, 2018
- 5,786
- 4,490
Ukiangalia takwimu za waliojiandikisha na waliopiga kura tofauti ni kubwa sana na pia ukiangalia waliokuwa wanashiriki katika kampeni na waliopiga kura idadi iko tofauti sana.
Sasa naanza kukumbuka ule utitiri wa watu wakati wa kampeni za mwaka 2015 kwa Dr Maguli na kwa Mh Lowassa yale mafuriko yalikuwa yanatisha sana.
Imekuwaje idadi ya waliopiga kura imekuwa kidogo kiasi hiki?
Sasa naanza kukumbuka ule utitiri wa watu wakati wa kampeni za mwaka 2015 kwa Dr Maguli na kwa Mh Lowassa yale mafuriko yalikuwa yanatisha sana.
Imekuwaje idadi ya waliopiga kura imekuwa kidogo kiasi hiki?