Inawrzekana mkuu kwani tz vifo si viliishia kumi na...Tuachane na Hilo la kuokota maiti barabarani hiyo ni bullshit sikuiamini pia.
Ila hivi we unaamini kweli Kuna vifo 4000 tu vya Corona Africa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawrzekana mkuu kwani tz vifo si viliishia kumi na...Tuachane na Hilo la kuokota maiti barabarani hiyo ni bullshit sikuiamini pia.
Ila hivi we unaamini kweli Kuna vifo 4000 tu vya Corona Africa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nakasirika sana tunavyowaomba hela, natamani serikali iachane na mikopo pamoja na misaada kutoka kwao kwanza haina faida kwetuHiyo ndo picha harisi jinzi gani hawa jamaa wanavyo tuchukulia.hawana upendo nasi ni unafiki mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijakuelewa mkuu inamaana zile takwimu ni uzushi tu, mbona mh rais hajamtumbua waziri?nimejiunga magroup kama matano ya whatsap na yote yana wanachama wengi.
nimeuliza kama kuna member yeyote kafa au kafiwa ama kuna mtu mtaani kwao kafa kwa corona anijulishe nakusanya data.
acha kufa hakuna hata aliesema kawai kuugua corona.
kila mtu yuko poa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkurugenzi wa takwimu kumbe Africa nchi zinakaribia 70.? Mbona ni Geography darasa la piliNasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina gates na Kimambo? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze kuokota watu barabarani kama kumbi kumbi?
Corona imeishaSijakuelewa mkuu inamaana zile takwimu ni uzushi tu, mbona mh rais hajamtumbua waziri?
Totaly wrong..Uchoyo wa habari, maendeleo na ugunduzi ni kazi yetu Waafrika. Sisi tuligundua chuma kabla ya mzungu, koo zilizojua kufua chuma zilifanya ujuzi huo kuwa siri ya ukoo na anafundishwa mtoto mkubwa arithi ujuzi kama vile wanavyorithi uganga wa kienyeji.
Mzungu alipogundua ujuzi huu alifanya hila mpaka tukamfundisha. Yeye alikaa na wenzake wakaona wakizalisha majembe 20 kwa mwaka watapata faida. Matokeo yake zana za chuma zilimuendeleza zaidi mzungu katika ustaarabu wa kulima na kufuga.
Walisubiri kwa hamu sana, ila ndio hivyo tenaNilkuwa sijui kama Mke wa Bill gates nae Mwanga , aliitabiria Afrika mabaya, Mungu akawa upande wetu...
Dua la Kuku kweli halimpati Mwewe...
Vipi we unaugua corona?
wanapitia barua zetu tulizooomba watusamehe madeni na wengine wanapitia maombi yetu ya kupewa fedha za uchaguzi mkuuNasikia Africa yote yenye nchi karibu 70 ins vifo visivyofika 4,000, ambayo USA walikuwa wanavipata kwa siku. Sasa wapi akina gates na Kimambo? Mnatupa siku ngapi za nyongeza tuanze kuokota watu barabarani kama kumbi kumbi?
Endelea kusali.Mpaka impate mmoja wenu kwenye familia ndio utajitambua
Ule utaratibu wa TRA kutangaza kwa mbwembwe makusanyo ya kila mwezi uliishia wapi ?Tz tushaipeperusha corona kwa Jina lipitalo kila jina, yaani Jina la Yesu. Tuliomba na tunaendelea kumuomba Mungu atuepushie mabalaa haya yatokeayo kuzimu.
Yesu alishashinda mauti na kuzimu, kwa kufa na kufufuka kwake. Wote tuseme Amen.
JESUS IS LORD!
Kwasasa nadhani nchi zote zimeshamuiga JPM, maana hawatangazi tena maambukizi ya kila siku kwenye vyombo vya habari, ule ulikuwa ni upuuzi wa hali ya juuUle utaratibu wa TRA kutangaza kwa mbwembwe makusanyo ya kila mwezi uliishia wapi ?
Hahahah, chemba waliongea nini sasa😂😂😂😂😂Ndio raha ya kuwa na Waziri wa afya mrembo...odo umy alimuita bwana kolonya chemba wakazungumza,wakakubaliana kinamna jamaa kalizika kasepa.
Tz maisha yanaendelea.
Hizo nchi nazo zilikuwa zinatangaza mapato ya kila mwezi kama TRA?Kwasasa nadhani nchi zote zimeshamuiga JPM, maana hawatangazi tena maambukizi ya kila siku kwenye vyombo vya habari, ule ulikuwa ni upuuzi wa hali ya juu
Actually kuwa MuAfrika muda mwingine ni Corona toshaMaisha ya Africa yenyewe ni corona tupu,corona ilipotea njia , mi nimekaa ulaya na America nimetembea china na nchi nyingi za South America . sisi huku ni kama kuku wa kienyeji tunajiokotea tu chakula chochote. Africa ni chafu sana , Magonjwa ni mengi ya kila namna . Nadhani corona ilipotea njia , sana sana wadudu wa corona watakufa wao wamekuja sehemu sio yao. ndio maana Africa tuko salama, hata dhambi zetu sio kama za wazungu wale ni wachafu wa dhambi wamefikia kuoana na mbwa. sasa wamekuwa chukizo mbele ya Mungu. hiyo ni Adhabu kutoka kwa Mungu.