CalvinPower
JF-Expert Member
- Nov 25, 2008
- 1,571
- 882
Lakini walisema hawezi. Ndo jamaa amefungua huu ukurasa.Mbona hakuna la ajabu hapo?
Watu walishafanya kitambo.
Jose mourinho
Sir Alex Ferguson
Wengine kibao
Ingependeza ukajibu hoja
Lakini walisema hawezi. Ndo jamaa amefungua huu ukurasa.Mbona hakuna la ajabu hapo?
Watu walishafanya kitambo.
Jose mourinho
Sir Alex Ferguson
Wengine kibao
Hayo ni waoni yako. Unamchagua klopp ila haleti kombe. Mm namchagua Pep maana analeta nakombe.hivi kila kocha epl pale apewe kila mchezaji anaemtaka kitatokea nini uwanjani!?...mourinho,wenger,ferguson,klopp,pochetino uwape kila mchezaji wanaemtaka,wawe na uwezo wa kununua timu nzima..epl itakuwaje!?..pep ananunua mafanikio,anakua na timu imara kuliko wenzake,ukiniamabia nichague kocha nachagua klop
Nilishajibu kwa kirefu sana angalia page za nyuma mkuuLakini walisema hawezi. Ndo jamaa amefungua huu ukurasa.
Ingependeza ukajibu hoja
Ingawa mimi si mmoja wa waliosema hayo, ila nachelea kusema Pep ni aina ya kocha anayevizia timu iliyoundwa na yeye uwezo mkubwa wa kifedha kwaajili ya usajili. Kwangu mimi, Pochettino, Klopp ni bora mara mia zaidi....nikiwafikilia wakina Claudio Ranieri, Harry Redknap wa enzi zile, Rijkard, Van Gaal, Del Bosque, Wenger, Ferguson, na yule aliyekuwa kocha wa Brazil 2002, jina nimelisahau, sioni uwezo wa Pep kihivyo, ujanja tu.Pep hawezi chukua EPL mara mbili mfululizo , maana ligi ya Epl ningumu sana. Vipi mnalipi tena ndugu zangu juu ya Pep.
Au kingumu England nikuendesha gari tu.Maana Sasa hivi naona anaondoka nivikombe vyote vya England.
naona umeamua kukoma kufikiri,na hutaki kuelewa,wanafungiwa uefa na bdo kapewa 200m anunue tenaHayo ni waoni yako. Unamchagua klopp ila haleti kombe. Mm namchagua Pep maana analeta nakombe.
Acha chuki. Domestic anachukua zote
Legue cup, epl cup, FA cup.
Pep is numbari 1
Acha chuki
Ndio utaamini ni bora?, nasio epl tena?.Abebe uefa bila messi
Wanafungiwaje wakati bado wapo kwenye uchunguzi?.Au tayari umeshaamini lazima wafungiwe?.naona umeamua kukoma kufikiri,na hutaki kuelewa,wanafungiwa uefa na bdo kapewa 200m anunue tena
Furgason kafundisha miaka 27 lkn ana uefa mbili hapo Man u, unalizungumziaje hili?.Ingawa mimi si mmoja wa waliosema hayo, ila nachelea kusema Pep ni aina ya kocha anayevizia timu iliyoundwa na yeye uwezo mkubwa wa kifedha kwaajili ya usajili. Kwangu mimi, Pochettino, Klopp ni bora mara mia zaidi....nikiwafikilia wakina Claudio Ranieri, Harry Redknap wa enzi zile, Rijkard, Van Gaal, Del Bosque, Wenger, Ferguson, na yule aliyekuwa kocha wa Brazil 2002, jina nimelisahau, sioni uwezo wa Pep kihivyo, ujanja tu.
Ndio utaamini ni bora?, nasio epl tena?.
Furgason kafundisha miaka 27 lkn ana uefa mbili hapo Man u, unalizungumziaje hili?.
Timu ipi mkuu ambayo haitumii pesa kusajili?.Au kocha yupi ambae hasajili, Pep msimu uliopita kanunua wachezaji wawili tu,Laporte na Maharez tena kwa bei zakawaida.
Mchezaji yupi man city kasajiliwa na Pep angalau kwa bei sawa na Lukaku,vvd,pogba,Allison?.