Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,797
- 71,216
Nitangaze wazi kuwa taaluma ya sheria imenipita pembeni.
Ila hilo halinizuii kutaka kuelewa mimi na wale wote ambao wana ndugu zao wamepotea, wamejeruhiwa au kuuawa na hakuna hatua zozote zinazoonekana kuchukuliwa.
Serikali ya Marekani majuzi ilitoa tamko la kumtaja kiongozi mmoja (ambaye hata kabla tetesi zimemtaja) kuhusika na upotevu na uuaji wa watu walio kuwa itikadi tofauti naye.
Kwa vile baada ya tamko hilo ilitakiwa serikali iombe ushahidi huo toka USA kwa ajili kuchukua hatua na haikufanya hivyo, je inawezekana ndugu wa jamaa hao wote waliopotezwa au kushambuliwa (mfano Lissu) kuomba huo ushahidi na kuwapatia Prosecutors wa ICC washughulike na mtuhumiwa anayelindwa na utawala?
Au ni namna gani haki inatafutwa nje kama ndani inazuiwa?
Hili suala siyo la ushabiki wa kisiasa kwani naamini kama mkeo ni chama pinzani na cha kwako huwezi kutetea kama atauawa kwa sababu za aina yeyote kwa vile sio kada/shabiki wa chama chako, bali utataka haki itendeke.
Msaada tafadhali, kuipigania haki ni baraka.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila hilo halinizuii kutaka kuelewa mimi na wale wote ambao wana ndugu zao wamepotea, wamejeruhiwa au kuuawa na hakuna hatua zozote zinazoonekana kuchukuliwa.
Serikali ya Marekani majuzi ilitoa tamko la kumtaja kiongozi mmoja (ambaye hata kabla tetesi zimemtaja) kuhusika na upotevu na uuaji wa watu walio kuwa itikadi tofauti naye.
Kwa vile baada ya tamko hilo ilitakiwa serikali iombe ushahidi huo toka USA kwa ajili kuchukua hatua na haikufanya hivyo, je inawezekana ndugu wa jamaa hao wote waliopotezwa au kushambuliwa (mfano Lissu) kuomba huo ushahidi na kuwapatia Prosecutors wa ICC washughulike na mtuhumiwa anayelindwa na utawala?
Au ni namna gani haki inatafutwa nje kama ndani inazuiwa?
Hili suala siyo la ushabiki wa kisiasa kwani naamini kama mkeo ni chama pinzani na cha kwako huwezi kutetea kama atauawa kwa sababu za aina yeyote kwa vile sio kada/shabiki wa chama chako, bali utataka haki itendeke.
Msaada tafadhali, kuipigania haki ni baraka.
Sent using Jamii Forums mobile app