Wakuu napenda kukumbuka mambo mawili matatu kwa wale tuliopita chuo cha magereza kiwira. Afande Chaka, Chakupewa,Nchimbi na nyimbo zake za "Vumilia Kidogo".
Wakuu napenda kukumbuka mambo mawili matatu kwa wale tuliopita chuo cha magereza kiwira. Afande Chaka, Chakupewa,Nchimbi na nyimbo zake za "Vumilia Kidogo".
Nakumbuka wakati nikiwa mdogo jamaa wa magereza kiwira a.k.a kibwe walikua noma sana kwa sarakasi na kwaya.
Sasa ulivyosema magereza kiwira nimekumbuka mbali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.