Nilipigwa na Butwaa jana baada ya kutembelea vituo kadhaa katika jimbo la kinondoni ambako nilikuta kwa wastani kila kituo kilikuwa kimepata wapiga kura 136 kati ya 450 sawa na 30%.
Katika hali hii kwanini watu wasipige kura?
kindondoni kila mtu na kazi yake:
Changudoa, shoga walisharidhika kuwa hayo ndiyo maisha yao
mateja walishakubali that is part of their life
majambazi na wauza unga nao vilevile
waokota chupa za makopo na huree
matajiri hawana shida
ya nini kupiga kura?