Jerry Ekky
JF-Expert Member
- May 6, 2018
- 1,678
- 4,888
Upo sahihi mkuu, ila maarifa sahihi ya kuja kutatua changamoto kwenye jamii hayatoki darasani mkuu bali hujengwa kupitia darasani. Na pia lengo la elimu ytu ni kujua kusoma na kuandika tuu!!kweli mkuu, lakini mfumo wetu wa elimu hautuandai hivyo, anayehitimu high school anakuwa na maarifa ya kujibia mitihani tu juu ya kile alichojifunza, hana elimu ya kujitegemea, angalau kwa hawa wa diploma na VETA wanaweza kutembea juu ya usemi huo