kajiti Member Oct 19, 2011 59 7 Aug 7, 2012 #1 Tembelea mbao za matango za kata au manispaa. Japo ndiyo hivyo wengine hatukubahatika!
Ngongo JF-Expert Member Sep 20, 2008 18,773 30,656 Aug 7, 2012 #2 Mimi nimegoma sihesabiwi wala sitaki kuhesabu mtu upo mkuu wangu kajiti ha ha ha ha. Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
kajiti Member Oct 19, 2011 59 7 Aug 7, 2012 Thread starter #3 huo uwe msimamo wako binafsi ....chondochonde usimshawishi mtu mwingine!