Alaf na hic na ww pia unamatatizoWaache tu wakifika huko juu wakutane na course work ya 21
Vijana hawa wa bongo flavor hawaelewi kabisa maana ya kufuata maelekezo!Mmepewa namba ya kutumia meseji nashangaa mna-reveal real id zenu hapa. Failure to follow instructions...
0743574165NATUMAI KILA ALIETUMA NAMBA YAKE INAYOTUMIA WHATSAPP AMEUNGANISHWA.....KAMA KUNA AMBAE NIMEMSAHAU ANITUMIE TENA NAMBA NA JINA WHATSAPP...... NAFASI BADO ZIPO NA VIJANA WANAENDELEA KUPASHANA HABARI NA KUELEWESHANA..... KARIBUNI
0623954176NDUGU ZANGU WATANZANIA TUSAIDIANE KUFUATA MAELEKEZO BASI.... NIMESEMA TUMA NAMBA YAKO KWENYE HIYO NAMBA HAPO JUU NIKUADD KWENYE GROUP LA WASOMI WENZIO TULIOAMUA KUSAIDIANA NA KUELEKEZANA NA KUHABARISHANA KUHUSU MAOMBI YA VYUO NA MKOPO WA ELIMU YA JUU......NAMAANISHA WALE WANAOTARAJIA KUSOMA ELIMU YA JUU...BACHELOR DEGREE
Kwann uwaite wenzako vilaza.!!!Walioweka namba zao hapa wote ni v.i.l.a.z.a,hawafuati maelekezo
da kiswahili kigumu aisee mtumieni ujumbe whatsupp wala si pengine mbona tunakuwa wagumu kuelewa jamani ndio maana kwenye mitiani wanatoa instraction usome kwanza kabla ujafanya lolote dah
Matokeo sio kigezo!Kwann uwaite wenzako ******.!!!
kama na ww cyo ****** weka matokeo yako y form six tuyaone.!!!.
.