Genesis og
New Member
- Nov 18, 2021
- 2
- 6
Habari wadau,
Samahani kwa wale walioomba nafasi za ajira TRA za mwezi November ambazo deadline ilikuwa tarehe 4 washapata majibu ya kuitwa kwenye usaili maana ajira portal huwa wanatoa majibu baada ya week 2 kupita yangu deadline.
Samahani kwa wale walioomba nafasi za ajira TRA za mwezi November ambazo deadline ilikuwa tarehe 4 washapata majibu ya kuitwa kwenye usaili maana ajira portal huwa wanatoa majibu baada ya week 2 kupita yangu deadline.