Fatma-Zehra
Senior Member
- Oct 18, 2020
- 192
- 1,062
Kuna minong'ono kuwa mtu yeyote aliyesaidia kwa namna moja ama nyingine kuokoa uhai wa Lissu (Mungu mwenyewe ndiye Mwamuzi wa mwisho) basi "alisulubiwa". Minong'ono inasema baadhi wamerudishwa kama Jose who's our representative in Brussels.
Wengine bado. Namuomba mama awarudishe. Huu uzi unaomba majina ya wengine na nafasi zao. Minong'ono inasema Dr Mpoki wa Afya bado hajarudi. Mpoki is a guru in anaesthesia. Kuna kipindi Kagame alitaka kumuiba. Huo ubalozi ni matumizi mabaya ya resources.
JF mnafahamu mengi. Karibuni.
Wengine bado. Namuomba mama awarudishe. Huu uzi unaomba majina ya wengine na nafasi zao. Minong'ono inasema Dr Mpoki wa Afya bado hajarudi. Mpoki is a guru in anaesthesia. Kuna kipindi Kagame alitaka kumuiba. Huo ubalozi ni matumizi mabaya ya resources.
JF mnafahamu mengi. Karibuni.