balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 14,362
- 12,450
Ni watu nikiowafahamu fika,walituburudisha wengi na wengine tukifanya nao kazi.Miaka kadhaa baada ya kuondoka kwao hatuwakumbuki tena ,nawataja Kwa uchache.John Maganga, Patrick Kuambiana,Adam Kuambiana, James Dandu,Complex,Rankeem Ramadan, Japanese,Langa Kileo
Kanumba,M poki Bukuku,Adam Lusekelo,Julius Nyaisanga,Mwl.Mrimi Mnandi etc
Kanumba,M poki Bukuku,Adam Lusekelo,Julius Nyaisanga,Mwl.Mrimi Mnandi etc