Waliomtukana Lowassa 2015 ndio hao hao wanaomsimanga Magufuli leo, sijui CCM tunahitaji kiongozi wa namna gani?

Amini nakuambia, Chama kitakacho nadi Sera za Magufuli kitachukua nchi asubuh kweupe. Hata km ccm wakiiba kura.
Magufuli alishajitengenezea wapiga kura wanaomkubali wengi sana.
Achana na hawa makasuku wa JF
😅😅😅😅😅😅
Wakija na misimamo ya Jembe hata mimi ntapiga kura!
 
Amini nakuambia, Chama kitakacho nadi Sera za Magufuli kitachukua nchi asubuh kweupe. Hata km ccm wakiiba kura.
Magufuli alishajitengenezea wapiga kura wanaomkubali wengi sana.
Achana na hawa makasuku wa JF
Akina Mmawia!
 
Jidanganye tu mwenyw
Amini nakuambia, Chama kitakacho nadi Sera za Magufuli kitachukua nchi asubuh kweupe. Hata km ccm wakiiba kura.
Magufuli alishajitengenezea wapiga kura wanaomkubali wengi sana.
Achana na hawa makasuku wa JF
 
..waliokuwa wakimtukana Lowassa ni pamoja na Lusinde uliyemtaja.

..kuna baadhi kamaJoseph Msukuma walifikia mpaka kupiga kampeni kwamba Lowassa ni mgonjwa anayekaribia kufa na kwamba anajisaidia haja kubwa anapopanda jukwaani kuhutubia.

..Magufuli naye zile push-up alizokuwa akipiga zililenga kuonyesha wapiga kura kwamba yeye ana afya na yuko imara kuliko Lowassa.

..Dr.Bashiru na Humphrey Polepole nao kwa nyakati mbalimbali walitoa kauli za kejeli na kidhalilishaji dhidi ya Lowassa.

..Nadhani joto la kuwa mpinzani lilikuwa kali mno na ndilo lililopelekea Lowassa arudi CCM pamoja na kwamba makada waandamizi wa chama hicho walimdhalilisha pakubwa wakati wa kampeni za 2015.
 
Nimekumbuka kauli ya Lusinde aka Kibajaji mbunge wa Mtera aliyoitoa bungeni kwamba wanaccm wanaomsengenya hayati Magufuli sasa watamsengenya hata mama baada ya kustaafu 2030 kwani aliyekula nyama ya mtu huwa haachi.

Ndio nimewafuatilia hawa jamaa wanaomsimanga Magufuli na kugundua kuwa ndio wale wale waliokuwa wanamtukana Lowassa 2015 " baada " ya kuhamia Chadema.

Sijajua wanaccm hawa wanataka kiongozi wa namna gani?!!!

Ngachoka kabisa!

Maendeleo hayana vyama.
HATA MAMA ATATUKANWA na Hao Hao
 
Utamchagua nani sasa kama CCM hutaichagua? Maana hata usipofanya hivyo wataishurutisha tume iwapitishe
Mkuu waislamu wanasema ukishindwa kukemea jambo ovu bora hata uonyeshe kuwa hujafurahi na huungi mkono, hapo bora ufanye lolote kuliko kutia tiki yako kwa hao jamaa, itaonekana umeunga mkono uovu, wacha wajipe wenyewe , yana mwisho,
 
C
Nimekumbuka kauli ya Lusinde aka Kibajaji mbunge wa Mtera aliyoitoa bungeni kwamba wanaccm wanaomsengenya hayati Magufuli sasa watamsengenya hata mama baada ya kustaafu 2030 kwani aliyekula nyama ya mtu huwa haachi.

Ndio nimewafuatilia hawa jamaa wanaomsimanga Magufuli na kugundua kuwa ndio wale wale waliokuwa wanamtukana Lowassa 2015 " baada " ya kuhamia CHADEMA.

Sijajua wanaccm hawa wanataka kiongozi wa namna gani?!!!

Ngachoka kabisa!

Maendeleo hayana vyama.
ccm ni wanafki
 
Back
Top Bottom