johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Nimekumbuka kauli ya Lusinde aka Kibajaji mbunge wa Mtera aliyoitoa bungeni kwamba wanaccm wanaomsengenya hayati Magufuli sasa watamsengenya hata mama baada ya kustaafu 2030 kwani aliyekula nyama ya mtu huwa haachi.
Ndio nimewafuatilia hawa jamaa wanaomsimanga Magufuli na kugundua kuwa ndio wale wale waliokuwa wanamtukana Lowassa 2015 " baada " ya kuhamia CHADEMA.
Sijajua wanaccm hawa wanataka kiongozi wa namna gani?!!!
Ngachoka kabisa!
Maendeleo hayana vyama.
Ndio nimewafuatilia hawa jamaa wanaomsimanga Magufuli na kugundua kuwa ndio wale wale waliokuwa wanamtukana Lowassa 2015 " baada " ya kuhamia CHADEMA.
Sijajua wanaccm hawa wanataka kiongozi wa namna gani?!!!
Ngachoka kabisa!
Maendeleo hayana vyama.