Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,806
- 18,785
Taasisi isiyofahamika kwa watu wengi sana iliyotoa tuzo kwa rais Magufuli kwa kufanya mapinduzi ya kiuchumi, wameulizwa maswali na mwandishi wa BBC na kushikwa na kigugumizi
Maswali hayo ni pamoja na kuulizwa kuwa washindani wake ni wakina nani? Waandaaji hao walisema hiyo ni siri kwa kuwa kuwataja waliokuwa nae ni kuwaaibisha
Walipoulizwa mbona amekaa madarakani muda wa miaka 2.5 tu walijibu eti walimfuatilia kabla hajawa rais....
Walipoulizwa mbona utafiti waTwaweza umeonyesha wananchi kukosa imani nae kabisa hasa kwenye swala la kiuchumi walijiuma uma na kusema mti ulio bora ndio hupigwa mawe
Video
Maswali hayo ni pamoja na kuulizwa kuwa washindani wake ni wakina nani? Waandaaji hao walisema hiyo ni siri kwa kuwa kuwataja waliokuwa nae ni kuwaaibisha
Walipoulizwa mbona amekaa madarakani muda wa miaka 2.5 tu walijibu eti walimfuatilia kabla hajawa rais....
Walipoulizwa mbona utafiti waTwaweza umeonyesha wananchi kukosa imani nae kabisa hasa kwenye swala la kiuchumi walijiuma uma na kusema mti ulio bora ndio hupigwa mawe
Video