Waliomchoma mwalimu mshale shingoni wakioneshana ujasiri wakamatwa

Sasa ujasiri gani mpo wengi na silaha versus mtu mmoja asiye na silaha...
 
e5ae6099ed45bc1cc79fd742c687e887

Kamanda mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe

JESHI la polisi mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya linawashikilia vijana watano kwa tuhuma za kumuua kwa kumuchoma na mshale shingoni mwalimu Justine Sospeter Ogo wa Shule ya sekondari Itiryo.

Kamanda mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe, alisema tukio hilo lilitokea Novemba 14,2019 asubuhi katika Kijiji cha Itiryo.

“Chanzo cha mauaji hayo ni vijana wapatao wanane walikuwa wanatembea barabarani wakiwa na silaha za jadi wakiwa wanajiandaa kwenda kwenye tohara Desemba, walikuwa wanasimamisha watu na kuwaomba fedha kwa nguvu kuonyesha ujasiri.

“Mwalimu aliyeuawa alikuwa anampeleka mwenzake kusimamia mitihani ya kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Bungurere, (vijana hao) wakamsimamisha na kuanza kumdai awape fedha, mwalimu na wenzake wakawa wanaondoka bila kusimama, ndipo kijana mmoja wapo alimchoma na mshale shingoni kutoka upande wa kulia na kutokea upande wa kushoto, alifariki alipofikishwa hospitali,”alisema Mwaibambe.

Mwaibambe alisema vijana watano wamekamatwa kati ya nane wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo na jeshi la polisi linaendelea kuwasaka wengine waliobaki.

Alitaja majina ya vijana hao kuwa ni Nchore Richard, Marwa Mwita Gichome, Gisiri Simion Mhere, Makenge Hongo Chacha na Muhere Mwita Gichumu.

Alisema kwa sasa vijana hao wanashikiliwa kwa mahojiano na taratibu zikikamilika watafikishwa mahakamani.

Kamanda Mwaibambe alitumia nafasi hiyo kuwataka wazazi, walezi na wananchi kuwafunza watoto wao maadili mema vinginevyo sheria haitasita kuwachukulia hatua watoto wote wanaojihusha na vitendo vya kihalifu.

Awali akisimulia tukio hilo, Mwalimu wa taaluma katika Shule ya Sekondari Itiryo, Nicku Bariki, alisema mwalimu huyo aliuawa akiendesha pikipiki wakati akiwa njiani na wenzake wawili aliokuwa amewapakia wakielekea Shule ya Sekondari Bungurere kusimamia mitihani.

Chanzo: Mtanzania
duh hatari
 
Haya ndo madhara ya kuivumulia CCM mpaka leo ingekuwa imetoka madarakani haya yasingekuwepo maana maisha yamekaza mpaka vijana wanafanya mambo ya ajabu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Huu ni ujinga na ushenzi mkubwa.
Nimepata hasira sana.
Natamani aliyefanya hivi anyongwe hadharani
Mimi ningekuwa Raisi huyu akishikwa na kosa mahakamani na kuadhibiwa kunyongwa hadi afe, ningemwaga wino mwekundu.
 
Ndiyo matatizo ya kutahiriwa ukubwani,Wangekuwa wametahiriwa utotoni hayo yasingetokea.Apumzike kwa Amani Mwalimu.
 
e5ae6099ed45bc1cc79fd742c687e887

Kamanda mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe

JESHI la polisi mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya linawashikilia vijana watano kwa tuhuma za kumuua kwa kumuchoma na mshale shingoni mwalimu Justine Sospeter Ogo wa Shule ya sekondari Itiryo.

Kamanda mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe, alisema tukio hilo lilitokea Novemba 14,2019 asubuhi katika Kijiji cha Itiryo.

“Chanzo cha mauaji hayo ni vijana wapatao wanane walikuwa wanatembea barabarani wakiwa na silaha za jadi wakiwa wanajiandaa kwenda kwenye tohara Desemba, walikuwa wanasimamisha watu na kuwaomba fedha kwa nguvu kuonyesha ujasiri.

“Mwalimu aliyeuawa alikuwa anampeleka mwenzake kusimamia mitihani ya kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Bungurere, (vijana hao) wakamsimamisha na kuanza kumdai awape fedha, mwalimu na wenzake wakawa wanaondoka bila kusimama, ndipo kijana mmoja wapo alimchoma na mshale shingoni kutoka upande wa kulia na kutokea upande wa kushoto, alifariki alipofikishwa hospitali,”alisema Mwaibambe.

Mwaibambe alisema vijana watano wamekamatwa kati ya nane wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo na jeshi la polisi linaendelea kuwasaka wengine waliobaki.

Alitaja majina ya vijana hao kuwa ni Nchore Richard, Marwa Mwita Gichome, Gisiri Simion Mhere, Makenge Hongo Chacha na Muhere Mwita Gichumu.

Alisema kwa sasa vijana hao wanashikiliwa kwa mahojiano na taratibu zikikamilika watafikishwa mahakamani.

Kamanda Mwaibambe alitumia nafasi hiyo kuwataka wazazi, walezi na wananchi kuwafunza watoto wao maadili mema vinginevyo sheria haitasita kuwachukulia hatua watoto wote wanaojihusha na vitendo vya kihalifu.

Awali akisimulia tukio hilo, Mwalimu wa taaluma katika Shule ya Sekondari Itiryo, Nicku Bariki, alisema mwalimu huyo aliuawa akiendesha pikipiki wakati akiwa njiani na wenzake wawili aliokuwa amewapakia wakielekea Shule ya Sekondari Bungurere kusimamia mitihani.

Chanzo: Mtanzania
Kuna baadhi ya makabila mpaka Leo bado hayajastaarabika sijui ni Kwanini mpaka leo wanaendeleza Mila na tamaduni za kishenzi pasipo na kuangalia utu
 
Hao wanyongwe tu fala kabisa.
Vitu vingine vinatia hasira sana.
Pengine ana watoto na tayari wamesababisha yatima pumbavu.
 
Kwamba huko mikoani kipimo cha ujasiri ni kuomba hela? Dodoma ni ya ngapi kwa ujasiri?
 
Hao maisha yanawahusu gerezan iwe fundisho
e5ae6099ed45bc1cc79fd742c687e887

Kamanda mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe

JESHI la polisi mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya linawashikilia vijana watano kwa tuhuma za kumuua kwa kumuchoma na mshale shingoni mwalimu Justine Sospeter Ogo wa Shule ya sekondari Itiryo.

Kamanda mkoa wa kipolisi Tarime na Rorya, Henry Mwaibambe, alisema tukio hilo lilitokea Novemba 14,2019 asubuhi katika Kijiji cha Itiryo.

“Chanzo cha mauaji hayo ni vijana wapatao wanane walikuwa wanatembea barabarani wakiwa na silaha za jadi wakiwa wanajiandaa kwenda kwenye tohara Desemba, walikuwa wanasimamisha watu na kuwaomba fedha kwa nguvu kuonyesha ujasiri.

“Mwalimu aliyeuawa alikuwa anampeleka mwenzake kusimamia mitihani ya kidato cha nne katika Shule ya Sekondari Bungurere, (vijana hao) wakamsimamisha na kuanza kumdai awape fedha, mwalimu na wenzake wakawa wanaondoka bila kusimama, ndipo kijana mmoja wapo alimchoma na mshale shingoni kutoka upande wa kulia na kutokea upande wa kushoto, alifariki alipofikishwa hospitali,”alisema Mwaibambe.

Mwaibambe alisema vijana watano wamekamatwa kati ya nane wanaodaiwa kuhusika na tukio hilo na jeshi la polisi linaendelea kuwasaka wengine waliobaki.

Alitaja majina ya vijana hao kuwa ni Nchore Richard, Marwa Mwita Gichome, Gisiri Simion Mhere, Makenge Hongo Chacha na Muhere Mwita Gichumu.

Alisema kwa sasa vijana hao wanashikiliwa kwa mahojiano na taratibu zikikamilika watafikishwa mahakamani.

Kamanda Mwaibambe alitumia nafasi hiyo kuwataka wazazi, walezi na wananchi kuwafunza watoto wao maadili mema vinginevyo sheria haitasita kuwachukulia hatua watoto wote wanaojihusha na vitendo vya kihalifu.

Awali akisimulia tukio hilo, Mwalimu wa taaluma katika Shule ya Sekondari Itiryo, Nicku Bariki, alisema mwalimu huyo aliuawa akiendesha pikipiki wakati akiwa njiani na wenzake wawili aliokuwa amewapakia wakielekea Shule ya Sekondari Bungurere kusimamia mitihani.

Chanzo: Mtanzania
 
Wakurya ni watu kwa sababu wanafanana na watu tu, lkn hawakupaswa kuwekwa kwenye jamii za watu waliostaarabika. Hawana tofauti na wanyama. Jamii iliyostaarabika hawawezi kuona kuuana au kujeruhiana ni ujasiri. Mbona wamasai wanapimana ujasiri, lakini sio kwa kudhuriana baina yao?!!!!
Kuna baadhi ya makabila mpaka Leo bado hayajastaarabika sijui ni Kwanini mpaka leo wanaendeleza Mila na tamaduni za kishenzi pasipo na kuangalia utu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom