Waliolipwa mafao ya serikali kwa kutumia kikotoo kipya mtujuze

satininus

Senior Member
Feb 11, 2021
135
171
Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nakaribia kustaafu. Naomba kupata japo ushuhuda kidogo kwa watumishi wa umma kupitia mfuko wa pensheni wa PSSSF waliostaafu kuanzia julai 2022.

Je mkupuo wamepata ngapi na malipo ya kila mwezi ni vipi.Ama watupe kanuni ya kikokotoo hicho ili tujue tutapata kiasi gani na hivyo tujiandae kisaikolojia.Kama kuna wafanyakazi wa PSSSF katika jukwaa hili na ninyi mtujuze tafadhali.
 
Labda wakupe kikokotoo maana malipo ya wastaafu hayafanani hutegemea mshahara wa mwisho ulikuwa kiasi gani na muda uliofanya kazi serikalini
Ni kweli maana nashindwa kukipata vizuri kwenye google.
 
Kiwango kinatofautiana kutokana na muda uliofanya kazi (miezi) na mshahara wako wa miezi 36 ya mwisho pia. Kubwa zaidi ni kuwa kikokotoo (formula) inatofautiana pia kutokana na mfuko uliokuwa unachangia kabla ya mifuko kuunganishwa. Inawezekana watu wawili mkawa na mshahara sawa wakati wa kustaafu, mkawa na idadi sawa ya miezi ya kufanya kazi lakini mkalipwa viwango tofauti.
Pia inawezekana mmoja akalipwa kiasi kidogo cha lump sum kuliko mwingine lakini kwa upande wa pili huyu atakuwa anapokea kiasi kikubwa cha pensheni ya kila mwezi kuliko mwenye lump sums kubwa.
Kwa mfano, aliyekuwa anachangia LAPF, atalipwa lump sum ndogo kuliko aliyechangia PPF, lakini huyu wa LAPF atapata pensheni kubwa zaidi kila mwezi. Vivyo hivyo kwa mifuko mingine ya zamani PSPF na GEPF.
 
Labda wakupe kikokotoo maana malipo ya wastaafu hayafanani hutegemea mshahara wa mwisho ulikuwa kiasi gani na muda uliofanya kazi serikalini
Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nakaribia kustaafu. Naomba kupata japo ushuhuda kidogo kwa watumishi wa umma kupitia mfuko wa pensheni wa PSSSF waliostaafu kuanzia julai 2022.Je mkupuo wamepata ngapi na malipo ya kila mwezi ni vipi.Ama watupe kanuni ya kikokotoo hicho ili tujue tutapata kiasi gani na hivyo tujiandae kisaikolojia.Kama kuna wafanyakazi wa PSSSF katika jukwaa hili na ninyi mtujuze tafadhali.
Umefikisha Miaka 60 au ,55 ya hiari
 
Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nakaribia kustaafu. Naomba kupata japo ushuhuda kidogo kwa watumishi wa umma kupitia mfuko wa pensheni wa PSSSF waliostaafu kuanzia julai 2022.Je mkupuo wamepata ngapi na malipo ya kila mwezi ni vipi.Ama watupe kanuni ya kikokotoo hicho ili tujue tutapata kiasi gani na hivyo tujiandae kisaikolojia.Kama kuna wafanyakazi wa PSSSF katika jukwaa hili na ninyi mtujuze tafadhali
Kumbuka Sheria imeanza kutumika mwezi wa saba, hivyo sidhan Kama kuna MTU kalipwa ndani ya miezi mitatu.
Pia nakushauri tembelea tawi la PSSPf lililo jiraan na wewe watakufanyia mahesabu na utajiandaa vizuri tu kukipokea


 
Mimi ni mtumishi wa serikali ambaye nakaribia kustaafu. Naomba kupata japo ushuhuda kidogo kwa watumishi wa umma kupitia mfuko wa pensheni wa PSSSF waliostaafu kuanzia julai 2022.Je mkupuo wamepata ngapi na malipo ya kila mwezi ni vipi.Ama watupe kanuni ya kikokotoo hicho ili tujue tutapata kiasi gani na hivyo tujiandae kisaikolojia.Kama kuna wafanyakazi wa PSSSF katika jukwaa hili na ninyi mtujuze tafadhali.
Mkuu si unajua kwamba kikokotoo formula hutegemea muda wa utumishi wa mtumishi na mshahara anaostaafu nao? Sasa unawezaje kutaka kujua mafao ya mtu mwingine ili hali hamfanani hizo terms? Jipange na miradi yako ungali kazini ukistaafu unakula pension yako bila pressure
 
Back
Top Bottom