baiser
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 1,456
- 2,179
ualimu niliupigaaa chini sabb hauthaminiki ila nilipenda sana kuwa mwalimu nikaona sio case ngoja nisome fani nyingine sabb nilikuwa na sifa ya kusoma fani yeyote ya sayansiMtu mwenye uwezo wa kufundisha atafundisha nini sasa kama ufaulu hana