Uchaguzi 2020 Waliokuwa wanasema upinzani umekufa wamekuwa wapole ghafla

Kamundu

Platinum Member
Nov 22, 2006
6,601
8,741
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo.

Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015.

Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi
 
Kweli kabisa, hizi sio zama za kushurutisha watu kutawaliwa na chama kimoja, eti kisa kuna bwawa na reli zinajengwa. Na wale wanaomdanganya Magufuli kuwa atashinda kwa 90%, huo ni utapeli wa mchana kweupe. Sana sana itabidi zile mbinu za kipuuzi za ushindi wa uchaguzi wa SM ndio zitumike.
 

Attachments

  • IMG-20200811-WA0129.jpg
    IMG-20200811-WA0129.jpg
    19.9 KB · Views: 1
Sisi CCM ni nani hata tupendwe na wote, wakati Mungu mwenyewe anapambana na upinzani toka kwa shetani !!

CCM inajivunia kuwa na watu wanaotambua juhudi zinazofanywa na rais aliyepo, kwani wanajua hii nchi ilipo, ilipotoka na inapokwenda.

Mpaka sasa tunao mtaji kubwa kwa Watanzania halisi acha mamluki wanaofurahia mwendo wa dereva wetu Magufuli, kwani kalimudu gari.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
..binafsi napenda kuwe na USHINDANI mkubwa wa kisiasa.

..ni sawa na unapoangalia mechi ya mpira, pamoja na kutaka timu yako ishinde, lakini unapenda unapokwenda uwanjani uwe entertained.

..sidhani kama kuna mtu anapenda kwenda kuangalia mechi ya mpira, halafu akaondoka dakika ya 70 kwasababu ana uhakika wa timu yake kushinda.

..hivyo ndivyo ninavyoziangalia siasa za Tanzania. Napenda kuwe na vyama at least viwili ambavyo kila tunapoingia kwenye uchaguzi hatuna uhakika chama kipi kitashinda uchaguzi.

..Kama inatokea kwenye nchi za wenzetu, kwa mfano Malawi, Ghana, Liberia, ...kwanini ishindikane Tanzania?
 
..binafsi napenda kuwe na USHINDANI mkubwa wa kisiasa.

..ni sawa na unapoangalia mechi ya mpira, pamoja na kutaka timu yako ishinde, lakini unapenda unapokwenda uwanjani uwe entertained.

..sidhani kama kuna mtu anapenda kwenda kuangalia mechi ya mpira, halafu akaondoka dakika ya 70 kwasababu ana uhakika wa timu yake kushinda.

..hivyo ndivyo ninavyoziangalia siasa za Tanzania. Napenda kuwe na vyama at least viwili ambavyo kila tunapoingia kwenye uchaguzi hatuna uhakika chama kipi kitashinda uchaguzi.

..Kama inatokea kwenye nchi za wenzetu, kwa mfano Malawi, Ghana, Liberia, ...kwanini ishindikane Tanzania?

Tz ni China ya Afrika Mashariki
 
Sisi CCM ni nani hata tupendwe na wote, wakati Mungu mwenyewe anapambana na upinzani toka kwa shetani !!

CCM inajivunia kuwa na watu wanaotambua juhudi zinazofanywa na rais aliyepo, kwani wanajua hii nchi ilipo, ilipotoka na inapokwenda.

Mpaka sasa tunao mtaji kubwa kwa Watanzania halisi acha mamluki wanaofurahia mwendo wa dereva wetu Magufuli, kwani kalimudu gari.

Sent using Jamii Forums mobile app

Awamu hii imekuja na siasa za kipuuzi za kulazimisha kupendwa, ikaweka na sheria za kuwaumiza wapinzani wakidhani ccm itapendwa na wote. Kwa bahati mbaya kitendo cha wanaccm kufanya siasa wenyewe na kunajisi uchaguzi, ndio mkadhani mmeua upinzani. Saa hii mnaona kabisa kuwa mlikuwa mnajidanganya, ndio mnajifanya kuja na lugha hizi za kufedheheka.
 
Waliobuni mfumo wa demokrasia walishayaona hayo, na waliona ndio njia pekee ya uhakika na usalama.
 
Mkuu, ubabe na mabavu ya kisiasa kwenye masuala ya Utawala. Just a satire! Komenti yangu ni SATIRE.

..LO!!

..nisamehe bure.

NB:

..by the way ukijua fundamentals and the basics of logarithms kwa kweli unajinafasi sana ktk hesabu hizo. jina lako limenikumbusha mbali.
 
Awamu hii imekuja na siasa za kipuuzi za kulazimisha kupendwa, ikaweka na sheria za kuwaumiza wapinzani wakidhani ccm itapendwa na wote. Kwa bahati mbaya kitendo cha wanaccm kufanya siasa wenyewe na kunajisi uchaguzi, ndio mkadhani mmeua upinzani. Saa hii mnaona kabisa kuwa mlikuwa mnajidanganya, ndio mnajifanya kuja na lugha hizi za kufedheheka.
Wala sio lugha ya kufedheheka.
Tunajiamini sana ndo maana huoni kelele watu wanasubiri tarehe rasmi ya kuanza kumkimbiza huyu mgonjwa alietangulia na baiskeli ya mbao.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo. Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015. Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi
Wassira: Tumeongeza Muda Kidogo, Chadema Itakufa Kabla ya Pasaka
 
CCM Oyeeee,Magufuli ataapishwa tarehe ngapi?
Tulishasema hapa idadi ya wabunge sio upinzani. Upinzani ni fikra. Ubunge na udiwani unaweza kuiba kura hata kulazimisha. Kitu ambacho huwezi kulazimisha ni upendo. Kama mtu anampenda mtu mwingine huwezi kualazimisha akupende wewe au kwasababu umemfanyia kitu fulani ni lazima akupende leo. Upinzani bado sio majority ya Watanzania lakini kuna watu kama 40%-45% ya Watanzania na zaidi ya hao kwenye miji mikubwa. Pamoja na kubanwa vyombo vya habari tunaona Zanzibar na Bara kwamba si kweli inawezekana hata upinzania ukawa na nguvu kuliko hata 2015. Kubana watu hakuzuii tena inawezekana kumeongeza umashauri maana wapinzani sasa wanaonekana kama mashujaa badala ya kuonekana wanasiasa wa kawaida.

CCM msikubali tena kuzuiwa kwa mikutano haisaidii na itakuwa ngumu hapo Magu akiondoka. 2025 upinzani utakuwa na nguvu kuliko sasa. Vilevile jibuni hoja badala ya kutukana na kutisha kuna mengi ya kujivunia kwa Magufuli. Lakini msiweke fikra kwamba Magufuli hana kasoro au wengine hawapedwi
 
Wala sio lugha ya kufedheheka.
Tunajiamini sana ndo maana huoni kelele watu wanasubiri tarehe rasmi ya kuanza kumkimbiza huyu mgonjwa alietangulia na baiskeli ya mbao.

Sent using Jamii Forums mobile app

Ni kweli, hata hicho mnachokiona hamkutarajia maana mlijua ni ushindi wa mteremko. Na msipotumia zile mbinu za siasa chafu na ushindi kama ule wa SM, mtapata majibu ya kufedhehesha sana. Hapo ndio mtajua Tanzania haiwezi kuwa mateka wa chama kimoja kwa utashi wa rais.
 
Back
Top Bottom