X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
WAKATI habari zikisema Waziri wa Miundombinu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ), Hamad Masoud Hamad, amesema yuko tayari kujiuzulu wadhifa wake kutokana na ajali ya meli ya Spice Islander iliyozama hivi karibuni katika eneo la Nungwi na kuua mamia ya watu, Chama cha Wananchi (CUF), kimesema watu waliokufa katika ajali hiyo, ni zaidi ya 1696.
Source: mzalendo.net
Source: mzalendo.net